Mwandishi nguli, Shaaban Bin Robert alikuwa ni Freemason?

Mwandishi nguli, Shaaban Bin Robert alikuwa ni Freemason?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Kwanza nianze kwa kusema kuwa ufreemason unaozungumzwa hapa si ule wa kwenye nguzo za umeme. Ni ule wa watu wenye fikra huru wanaokusanyika pamoja ili kuboresha maisha ya binadamu.

Kwa nini nauliza iwapo Shaaban Robert alikuwa ni freemason? Kuna huu ushahidi.

1. Nilikuwa nasoma kitabu cha Shaaban bin Robert kiitwacho Siku ya Watenzi wote. Katika kitabu hiki Mwandishi anazungumza kuhusu jumuia iitwayo Jumuia ya Adili. Jumuia hiyo ni kama jumuia ya kidini lakini haina dini. Watu wa dini zote wanakaribishwa. Kila jumamosi ibada ya dini zote hufanyika katika jumuia hiyo. Kazi kubwa ya jumuia hii ni kusaidia wenye uhitaji. Watu hupeleka sadaka zao kwenye jumuia hiyo bila ya maonyesho.

Jumuia hiyo inafanana sana na ufreemason ambao watu wa dini zote hujiunga na kazi yake kubwa kuboresha maisha ya mwanadamu. Kitabu hicho unaweza kukisoma bure ndani ya app ya Maktaba Sauti, ipo playstore.
Siku_ya_1_cropped.png

2. Wote tunamfahamu Marehemu Sir Andy Chande aliyekuwa kiongozi wa freemasons Tanzania. Kwenye kitabu cha maisha yake kaandika jinsi ambavyo alikusanya watu ili waanzishe shule. Na shule hiyo wakaiitaje? Shaaban Robert! Kwa nini shule iliyoanzishwa na freemasons iitwe jina la Shaaban Robert? Je alikuwa ni mwenzao?
 
Kwanza nianze kwa kusema kuwa ufreemason unaozungumzwa hapa si ule wa kwenye nguzo za umeme. Ni ule wa watu wenye fikra huru wanaokusanyika pamoja ili kuboresha maisha ya binadamu.

Kwa nini nauliza iwapo Shaaban Robert alikuwa ni freemason? Kuna huu ushahidi.

1. Nilikuwa nasoma kitabu cha Shaaban bin Robert kiitwacho Siku ya Watenzi wote. Katika kitabu hiki Mwandishi anazungumza kuhusu jumuia iitwayo Jumuia ya Adili. Jumuia hiyo ni kama jumuia ya kidini lakini haina dini. Watu wa dini zote wanakaribishwa. Kila jumamosi ibada ya dini zote hufanyika katika jumuia hiyo. Kazi kubwa ya jumuia hii ni kusaidia wenye uhitaji. Watu hupeleka sadaka zao kwenye jumuia hiyo bila ya maonyesho.

Jumuia hiyo inafanana sana na ufreemason ambao watu wa dini zote hujiunga na kazi yake kubwa kuboresha maisha ya mwanadamu. Kitabu hicho unaweza kukisoma bure ndani ya app ya Maktaba Sauti, ipo playstore.

2. Wote tunamfahamu Marehemu Sir Andy Chande aliyekuwa kiongozi wa freemasons Tanzania. Kwenye kitabu cha maisha yake kaandika jinsi ambavyo alikusanya watu ili waanzishe shule. Na shule hiyo wakaiitaje? Shaaban Robert! Kwa nini shule iliyoanzishwa na freemasons iitwe jina la Shaaban Robert? Je alikuwa ni mwenzao?
Yaani kwa maandiko yako nimeamini Shaban Robert alikuwa mwanachama wa hii jumuiya ya FREEMASONRY
 
Hapana,serikali inatakiwa kuboresha makumbusho yake na eneo alilizikwa ,hayo nakymbusho ni kajumba ka chumba kimoja,kako katika hali duni,kaburi limejengewa ila liko vichakani,wangeboresha mandhari watalii wangeenda sana pale
Kweli. Serikali ilitakiwa kufanya kitu kwenye yale Makumbusho. Hata wale TATAKI, zamani TUKI walitakiwa wafanye kitu. Hata Shule ya Shaaban Robert yenyewe wanaweza kutoa chochote kusaidia.
 
Kwanza nianze kwa kusema kuwa ufreemason unaozungumzwa hapa si ule wa kwenye nguzo za umeme. Ni ule wa watu wenye fikra huru wanaokusanyika pamoja ili kuboresha maisha ya binadamu.

Kwa nini nauliza iwapo Shaaban Robert alikuwa ni freemason? Kuna huu ushahidi.

1. Nilikuwa nasoma kitabu cha Shaaban bin Robert kiitwacho Siku ya Watenzi wote. Katika kitabu hiki Mwandishi anazungumza kuhusu jumuia iitwayo Jumuia ya Adili. Jumuia hiyo ni kama jumuia ya kidini lakini haina dini. Watu wa dini zote wanakaribishwa. Kila jumamosi ibada ya dini zote hufanyika katika jumuia hiyo. Kazi kubwa ya jumuia hii ni kusaidia wenye uhitaji. Watu hupeleka sadaka zao kwenye jumuia hiyo bila ya maonyesho.

Jumuia hiyo inafanana sana na ufreemason ambao watu wa dini zote hujiunga na kazi yake kubwa kuboresha maisha ya mwanadamu. Kitabu hicho unaweza kukisoma bure ndani ya app ya Maktaba Sauti, ipo playstore.

2. Wote tunamfahamu Marehemu Sir Andy Chande aliyekuwa kiongozi wa freemasons Tanzania. Kwenye kitabu cha maisha yake kaandika jinsi ambavyo alikusanya watu ili waanzishe shule. Na shule hiyo wakaiitaje? Shaaban Robert! Kwa nini shule iliyoanzishwa na freemasons iitwe jina la Shaaban Robert? Je alikuwa ni mwenzao?
Jamani mwenye hiki kitabu anisaidie
 
Jumuiya yoyote inayokutana kutaka maisha ya mwanadamu yaboreke na kulinda uhai,usalama ,utulivu na ustawi wa wanadamu ,ardhi ,wanyama wadudu na mazingira ni jumuiya bora haina ubaya wowote ule na ina baraka za Mwenye Enzi Muumba Ulimwengu[emoji7][emoji7][emoji2956][emoji2956]

#Uchamungu ni kuvitakia salama viumbe vyote vinavyoonekana na visivyoonekana ,wadudu , miti na mazingira [emoji2956][emoji2956]
 
Back
Top Bottom