Kumbe Suleiman Mohamed mwenyewe upo huku kujibu mapigo,baada ya kukamilisha udhalimu wenu!!Uzuri na uthibitisho wa kazi ya genge lake upo ambayo ndo huyooo m30 alizoomba kwa mtekwa sa sijui anasingiziwaje hapo
Nabisha vipi mkuu wakati juzi tu wamekamatwa na marundo ya risasi? Mwingine meli yake ilikutwa imebeba pembe za ndovu
Sasa huyu ni kada wa chadema [emoji1787][emoji2960]Nabisha vipi mkuu wakati juzi tu wamekamatwa na marundo ya risasi? Mwingine meli yake ilikutwa imebeba pembe za ndovu
Au sioKumbe Suleiman Mohamed mwenyewe upo huku kujibu mapigo,baada ya kukamilisha udhalimu wenu!!
Yuko msukuma mmoja hv anaitwa Balele zamani alikuwa ana support upinzani alivyoona jiwe anamwaga vyeo kwa wapiga pambio nae akafika bei akaanza kupiga pambio lkn jiwe kamkaushia tuNatamani kumjua mmiliki wa hilo gazeti la Jamhuri ni nani
Kuna watu wameumbwa kubisha hata kama ukweli upo wazi bado kubisha ni kasumba yao sasa kwa hawa watuhumiwa ukweli upo mahakamani mtu anasema wameonewa fedha walizoomba wamekamatwa nazo bado watu fulani wanadai wameonewa wangeachwa bado wangesema serikari wazembe,sasa kipi bora serikari yako kuwa wazembe au watenda kukamatwa kufikishwa mahakamani Kisha kuambiwa waonevu? Wangeuliwa je mngesemaje?
genge la uhalifu?Siku hizi sio uhujumu uchumi tena, ni kuendesha genge la uhalifu. Series bado zinaendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo ngoma droo