TANZIA Mwandishi wa habari maarufu Rwanda John Williams Ntwali auawa

Huyo Shetani Kagame Huwa hakopeshi, Mwendazake alitaka kupiga ikamshinda wenzie waliunda royal system Toka msituni yeye akadandia system ya watu wakamuwahi.
 
Kama burundi hata rwanda watang'olewa tu. Ni suala la muda tu.
 
Tofauti ni kwamba ndani ya Israel kuna demokrasia kubwa sana na serikali haiugusi wapinzani wake WaIsrael.
🇷Rwanda [emoji1206] wanajifanya ndio Israel ya Africa, Dictator kagame ndio zake hizi, keshaua sana wapinzani wake pale maputo na joberg, ila naye anaelekea huko huko kuzimu na uoga umeshampata ndio maana analindwa na mtoto wake
 

Kageme huwa ninakukubali lakini inatosha inatosha,
Ninakufuta kuwa hutakuwa rais wa Rwanda tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…