Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Mwandishi wa Habari Eugen Peter anatafutwa na Familia yake pamoja na Ofisi yake ya Ayo TV Dar es salaam baada ya kutoweka bila kujulikana alipo leo ikiwa ni siku ya tisa.
Mara ya mwisho Eugene alionekana mazingira ya nyumbani kwake Jumapili December 29,2024 majira ya saa mbili usiku.
Familia akiwemo Baba yake Mzazi na Watu wa karibu wamethibitisha kutokuwa na mawasiliano naye tangu wakati huo ambapo Dar es saalam hajaonekana na kwao Arusha na Moshi hajafika huku simu zake zikiwa hazipatikani.
Baada ya jitihada kubwa za kumtafuta maeneo mbalimbali na kutoa taarifa ya kupotea kwake Polisi, AyoTV na Familia kwa pamoja tunaombat mtu mwenye taarifa kumuhusu apige simu namba 0748400047 au aripoti kituo cha Polisi kilicho karibu nae
Source: Millard Ayo
Kwa update ingia hapa: Mwandishi wa habari wa Ayo TV, Eugene Peter apatikana MOI, alipata ajali ya Bodaboda
Mara ya mwisho Eugene alionekana mazingira ya nyumbani kwake Jumapili December 29,2024 majira ya saa mbili usiku.
Familia akiwemo Baba yake Mzazi na Watu wa karibu wamethibitisha kutokuwa na mawasiliano naye tangu wakati huo ambapo Dar es saalam hajaonekana na kwao Arusha na Moshi hajafika huku simu zake zikiwa hazipatikani.
Baada ya jitihada kubwa za kumtafuta maeneo mbalimbali na kutoa taarifa ya kupotea kwake Polisi, AyoTV na Familia kwa pamoja tunaombat mtu mwenye taarifa kumuhusu apige simu namba 0748400047 au aripoti kituo cha Polisi kilicho karibu nae
Source: Millard Ayo
Kwa update ingia hapa: Mwandishi wa habari wa Ayo TV, Eugene Peter apatikana MOI, alipata ajali ya Bodaboda