Mwandishi wa Media Max Limited Catherine Wanjeri apigwa risasi Nakuru, akifuatilia maandamano ya Wananchi kupinga serikali

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610

Mwandishi wa habari wa Kenya, Catherine Wanjeri Kariuki, anayefanya kazi kwa Mediamax Limited, amepigwa risasi na polisi huko Nakuru wakati akiripoti maandamano yaliyoongozwa na vijana wakitaka rais aliyezingirwa William Ruto ajiuzulu. Alikimbizwa Hospitali ya Valley.

MediaMax inamiliki K24 TV na Milele FM pamoja na kituo cha redio cha lugha ya Kikuyu, Kameme FM.

---
Kenyan journalist Catherine Wanjeri Kariuki, working for Mediamax Limited, has been shot by police in Nakuru while covering youth-led protests demanding the resignation of embattled President William Ruto. She was rushed to Valley Hospital.

MediaMax owns K24 TV and Milele FM plus vernacular Kikuyu radio station Kameme FM.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Kwa hiyo huyo mwandishi alikua anapora?
Hizo zitakuwa ni risasi wamelengwa waporaji na wachomaji moto wa Mali na wezi naona imekuwa bahati mbaya tu kwa huyo mwandishi.

Waandishi huwa wanakufa kwenye machafuko kama kule Gaza.
 
Maandamano ya AMANI kama yetu CHADEMA hiyo ndio Demokrasia lakini kuchoma Nyumba na kupora Polisi wafanye kazi yao.
 
Mwandishi wa Media ya Uhuru
 
Kenya ni waafrika wanaotaka kutoka kwenye unyani na kua binadamu kamili......

Cc ngoja tubaki huku huku kwenye...poriii maana ubinadamu kazi sir nature
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…