Kwanza hawezi kuwa MC halafu pia akawa Reporter simultaneously
Kuna mambo ambayo akiwa MC hawezi kuyaona kama Reporterr.
Haya ndio yale mambo ya Watu wa Filamu za Bongo,kila kitu yeye mwisho wa siku inakuwa hovyo.
Pia ujue sio kuwa kila reporter anauwezo wa ku report jambo fulani efficiently.
Kuna watu ni wazuri kwa masula ya mpira,kuna wengine Masuala ya kijamii na wengine masuala ya uchumi nk.
Sasa ungeweka wazi ni kwa ajili ya mkutano unaohusu nini,maana ukiandika hivyo tu usishangae akaja Kingwendu Kama Mc au Bambo