TANZIA Mwandishi wa vitabu vya kiswahili na kiingereza Greyson Mhilu amefariki dunia

TANZIA Mwandishi wa vitabu vya kiswahili na kiingereza Greyson Mhilu amefariki dunia

Richard Robert

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
632
Reaction score
340
1627029040365.png


Mhilu, alifariki jana akiwa ARUSHA baada ya kuugua muda mfupi. Msiba uko UKUN, BAGAMOYO.

Wakati wa uhai wake amewahi kuwa Mkuu wa Shule EAGLES, Bagamoyo na kufundisha shule mbalimbali zikiwemo LILIAN KIBO na MBEZI BEACH za DAR es SALAAM.

Ameshiriki kuandika vitabu vingi na kuedit vingine chini ya kampuni ya Nyambari Nyangwine.

R.I. P MHILU
 
Kwa sasa ukisikia kuna mgeni anakuja kwako anatokea ama kanda ya ziwa au kanda ya kaskazini, mwambie tu aishie guest house...
 
Poleni sana wafiwa. Hiyo ndiyo iliyo njia yetu sote.

Serikali walishasema Corona haipo.

Ila tusiache kuchukua tahadhari.
 
Wanajamii forum wengi wanaandika nyuzi za Tanzia ili kutisha watanzania. Je kama alikua na maradhi ya muda mrefu na alikua hasemi hapo tusemeje.w

Wanajamii forum wengi wanaandika nyuzi za Tanzia ili kutisha watanzania. Je kama alikua na maradhi ya muda mrefu na alikua hasemi hapo tusemeje.
Watu wengi tunaumwa tuu,ila ukilazwa ukafa kwa kuuguzwa siku chache ndo hivyo,huwezi sema mpaka idhibitika na daktari,wala usitishike kuambiwa kafa muda mfupi,ondoa hofu.
 
Back
Top Bottom