Richard Robert
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 632
- 340
Kama kaugua muda mfupi asemeje?!Tuanzie hapo.Lengo lako lilikua ni kuandika hiyo ya kuugua muda mfupi ili kutisha watu.
Basi wewe andika kuwa kaugua tangu alipozaliwa mpaka alipokufa. Ikiwezekana andika kuwa bado anaumwaLengo lako lilikua ni kuandika hiyo ya kuugua muda mfupi ili kutisha watu.
Ugonjwa upo Dunia nzima mkuu amka acha mawazo hayo tumuombe Mungu atuepushe na hili janga na tufate ushauri wa kisayansi.Kwa sasa ukisikia kuna mgeni anakuja kwako anatokea ama kanda ya ziwa au kanda ya kaskazini, mwambie tu aishie guest house.
Wanajamii forum wengi wanaandika nyuzi za Tanzia ili kutisha watanzania. Je, kama alikua na maradhi ya muda mrefu na alikua hasemi hapo tusemeje.Kama kaugua muda mfupi asemeje? Tuanzie hapo.
Lengo lako lilikua ni kuandika hiyo ya kuugua muda mfupi ili kutisha watu.
πππππacha matusi mkuu. Jenga hoja bila kumtukana mtu matusi. Wote tukianza kuwa hivi hatutofika mwafaka.Utakuwa na ugonjwa wa muda mfupi kichwani mwako!
Anaweza akawa ndo tegemeo lako kaja kwa ajili yako na wewe huna kitu!Ni kumuomba Mungu apishe mbali.Kwa sasa ukisikia kuna mgeni anakuja kwako anatokea ama kanda ya ziwa au kanda ya kaskazini, mwambie tu aishie guest house...
Wanajamii forum wengi wanaandika nyuzi za Tanzia ili kutisha watanzania. Je kama alikua na maradhi ya muda mrefu na alikua hasemi hapo tusemeje.w
Watu wengi tunaumwa tuu,ila ukilazwa ukafa kwa kuuguzwa siku chache ndo hivyo,huwezi sema mpaka idhibitika na daktari,wala usitishike kuambiwa kafa muda mfupi,ondoa hofu.Wanajamii forum wengi wanaandika nyuzi za Tanzia ili kutisha watanzania. Je kama alikua na maradhi ya muda mrefu na alikua hasemi hapo tusemeje.
We Chizi. Haya kaugua muda mrefu toa tafsiri nyingine!Lengo lako lilikua ni kuandika hiyo ya kuugua muda mfupi ili kutisha watu.