Mwanga – Kilimanjaro: Watu walipoteza maisha kwa kushambuliwa na Tembo lakini Rais Samia amewezesha tunapata maji

Mwanga – Kilimanjaro: Watu walipoteza maisha kwa kushambuliwa na Tembo lakini Rais Samia amewezesha tunapata maji

Bado Hujasema

Member
Joined
Dec 1, 2024
Posts
12
Reaction score
14
Hebu mtazame mama huyu kutoka kitongoji cha Luami, wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro.

Tangu anazaliwa mpaka anakua mtu mzima anashuhudia wanawake kama yeye wakitembea umbali wa kilomita 5 kubahatisha kupata maji.

Kwa miaka 30 mama huyu anasikia kuhusu mradi wa Bwawa la nyumba ya Mungu, mradi wa kusogeza huduma ya maji karibu na makazi ya watu kutoka Mwanga,Same hadi Korogwe

Leo baada ya miaka 30 hatimae Rais Samia kamsogezea mama huyu pamoja na wamama wengine, huduma ya maji hadi milangoni mwao.

Sifa kubwa ya Rais Samia ni kwamba ana ahidi na anatekeleza. Leo hii anawashusha mamilioni ya wakina mama ndoo.
 
"I'm tired of hearing this name". Yaani mtu amepewa kiberiti tu, utasikia lakini Samia amewezesha. Kweli tuna miaka mingine 60 ya kujikomboa kifikra.
 
Back
Top Bottom