Ni tatiz mkuu kikawaida mwanga wa cm unatakiwa utoweke cm ukiweka karib na skio ila kwa kwake yey haipo ivo me nimemuelewa jamaa vzr san t ya kwak yey kitendo cha kupiga t apo apo mwanga unatoweka ila nadhan akibonyez batan ya off/on utarud mwanga kama haurud bc nahic atakua iyo cm ameshaitumia kwa mda mrefuHakuna mwanga uliotoweka hapo, na wala hilo si tatizo bali inakusaidia wewe mtumiaji pindi utakapoweka simu 📱 sikioni isiji touch mara Kwa mara
Kama hujui bora ukae kimya kuliko kukejeli,si lazima u comment kila uziDah 😂 kwa akili hizi afu unamkuta mtoa mada ety serikali haijali watu wake tena unamkuta kwenye maandamano
Batan ya off/on ?Ni tatiz mkuu kikawaida mwanga wa cm unatakiwa utoweke cm ukiweka karib na skio ila kwa kwake yey haipo ivo me nimemuelewa jamaa vzr san t ya kwak yey kitendo cha kupiga t apo apo mwanga unatoweka ila nadhan akibonyez batan ya off/on utarud mwanga kama haurud bc nahic atakua iyo cm ameshaitumia kwa mda mrefu
Ndio ila kuna mdau ameeleza apo juu #8 jiarib kufuata ushaur wakeBatan ya off/on ?
Hiyo si ipo automatically mkuu auuWakuu habari zenu....,!
Simu yangu wakati nikimpigia mtu, mwanga hutoweka.
Nilianza kuhisi labda shida ni protector lakini nilitoa na tatizo lipo palepale .
Hii inaleta changamoto maana nashindwa kuweka loudspeaker.
Kama kuna mtu ana idea ya nini nifanye naomba anisaidie.
Ahaaa Kwan umeshatatua shd yak mkuuMwanzo haikuwa hivyo, hali hii ina kama wiki moja sasa.
Ndo nikaona sio kawaida ngoja niombe msaada.
Ndo apo ninapoiaminiaga jf hawajawah feligiNdy, ninefuata muongozo wa wachangiaji kweli tatizo limekwisha.