Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 850
- 2,019
Wana jamvi.
Kuna Crip Moja inasambaa ikimuonesha huyu bwana na mwenzie wakiitolea mfano Tanzania.
Takwimu zilizotqkana na tafiti si ajabu zikabeba ukweli ila majirani Hawa wanaonekana kutumia kadi hiyo kuipakannchi hii tope la mkaa.
Mb ni kubwa kui upload humu ila inatia hasira Sana. Nimeitafuta kwenye ma YouTube ssijapata ila nikifanikiwa nitaiweka muone upuuzi Kwa namna flan unaosababishwa na viongozi kitowajali watumishi wa umma.
Kwa mfano kwamba Dr hospitalin anatumia dakika 23 kumsikiliza mgonjwa Kwa siku. Dr alikomaa 5-7 years aakiutafuta u MD. Mwalimu anatumia saa nyingi kukaa na watoto wenu na hawamjali. Sinjambo la ajabu wakikwepa majukumu Yao.
Mwalimu anatumia Masaa mawili kati ya saa 8 Kwa siku hili tatizo ni viongozi mazuzu wasiojali watu wahali ya chini.
This is crazy
Kuna Crip Moja inasambaa ikimuonesha huyu bwana na mwenzie wakiitolea mfano Tanzania.
Takwimu zilizotqkana na tafiti si ajabu zikabeba ukweli ila majirani Hawa wanaonekana kutumia kadi hiyo kuipakannchi hii tope la mkaa.
Mb ni kubwa kui upload humu ila inatia hasira Sana. Nimeitafuta kwenye ma YouTube ssijapata ila nikifanikiwa nitaiweka muone upuuzi Kwa namna flan unaosababishwa na viongozi kitowajali watumishi wa umma.
Kwa mfano kwamba Dr hospitalin anatumia dakika 23 kumsikiliza mgonjwa Kwa siku. Dr alikomaa 5-7 years aakiutafuta u MD. Mwalimu anatumia saa nyingi kukaa na watoto wenu na hawamjali. Sinjambo la ajabu wakikwepa majukumu Yao.
Mwalimu anatumia Masaa mawili kati ya saa 8 Kwa siku hili tatizo ni viongozi mazuzu wasiojali watu wahali ya chini.
This is crazy