Mwang'ombe Cup, Ndio Mashindano ya soka yaliyofunika kuliko yoyote yanayoendeshwa na Wanasiasa Tanzania

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Liberatus Mwang'ombe Kijana wa Chadema, Aliyeporwa Ubunge 2020 huko Mbarali, katika ahadi zake kwa Wananchi ilikuwa kuhakikisha anainua Michezo kwenye Jimbo hilo, kwa kuanzisha mashindano mbali mbali, na kwa kweli ahadi yake ameitimiza, Japo ameanza na Soka.

Nimeona michuano mingi iliyoandaliwa na Viongozi wa kisiasa, tena wengine wamo madarakani, Lakini hayakuwahi kufikia Mwang'ombe Cup, Hakika Usishindane na Aliyejaaliwa.

Hiki hapa ni kipute cha Fainali, Jionee


Pichani ni Mgeni Rasmi Twaha Mwaipaya akifuatilia Fainali hizo


 
Mkuu
Unaifahamu Mwl Dotto Cup ya Jimbo la Bukombe, Geita ambayo inadhaminiwa na mheshimiwa Dotto Mashaka Biteko, naibu waziri mkuu, waziri wa nishati na mbunge wa Bukombe?
Hebu ifuatilie na hyo halafu ulete comparison yenye evidence
 
Mkuu
Unaifahamu Mwl Dotto Cup ya Jimbo la Bukombe, Geita ambayo inadhaminiwa na mheshimiwa Dotto Mashaka Biteko, naibu waziri mkuu, waziri wa nishati na mbunge wa Bukombe?
Hebu ifuatilie na hyo halafu ulete comparison yenye evidence
Hiyo ilete wewe sasa ili kuichalenji hii niliyoleta mimi
 
Lucas msambwanda wa mbowe huyu
 
Daah ndo anaifanya rujewa iendelee kimichezo ,big up liberetus
 
Hii ilikuwa mwaka Jana.
 

Attachments

  • Screenshot_20240802-071238_1.jpg
    312.7 KB · Views: 3
  • 2adc46b13f5ada23929710e6c2ec3743.png
    807.5 KB · Views: 2
  • ef43f9b5d8b0c9e29c1a8be361c115b2.png
    443.4 KB · Views: 2
  • d8591f5a895c0a63b0f2d7fd6286f32f.png
    770.3 KB · Views: 2
Na hii ndo mipango ya mwaka huu!
 

Attachments

  • Screenshot_20240802-070227.jpg
    98.1 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240802-070208.jpg
    302.3 KB · Views: 3
Unajitahidi kutapatapa 😆😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…