Mwani kutumika kama tiba, kuna utafiti wowote kuthibisha hilo?

Mwani kutumika kama tiba, kuna utafiti wowote kuthibisha hilo?

emmarki

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
1,001
Reaction score
1,430
Mwani (sea moss) ni mojawapo ya mimea inayoota baharini na inalimwa sana zanzibar na mafia.

Nimeona kutoka sehemu mbalimbali wauza dawa mbadala wakiusifia mwani kutibu magonjwa mengi na kuwa chanzo kizuri cha madini joto.

Napata kigugumizi akilini kuamini bila kuwepo kwa tafiti kuthibitisha hilo. Huku nilipo Kisiwa cha Mafia, mwani unapatikana kwa wingi sana, lakini hauna soko kabisa.
images (3).jpeg
 
Mwani (sea moss) ni mojawapo ya mimea inayoota baharini na inalimwa sana zanzibar na mafia.

Nimeona kutoka sehemu mbalimbali wauza dawa mbadala wakiusifia mwani kutibu magonjwa mengi na kuwa chanzo kizuri cha madini joto.

Napata kigugumizi akilini kuamini bila kuwepo kwa tafiti kuthibitisha hilo. Huku nilipo Kisiwa cha Mafia, mwani unapatikana kwa wingi sana, lakini hauna soko kabisa.
View attachment 3155822
1732052325538.jpeg
 
Kati ya picha ya juu na ya chini, upi ni mwani? Naona hiyo sea moss ndio kama tunaiita mwani huku wakati kimalkia wanaita sea weed.
sea weed ni mboga za baharini zina majani kabisa kama zilivyo mimea mingine. Sea moss (mwani) hauna majani ni kama spaghetti (tambi)
 
Napata kigugumizi akilini kuamini bila kuwepo kwa tafiti kuthibitisha hilo. Huku nilipo Kisiwa cha Mafia, mwani unapatikana kwa wingi sana, lakini hauna soko kabisa.
Pole mkuu,
Kama unahisi unapata kigugumizi waachie wanaothubutu, wewe subiri utafiti!!
 
Kuna aina 2 kuu za see moss

Chondrus Crispus
grows around the coast of Ireland but also Great Britain, Maine, Canada, and other places where there are cooler waters.Irish Moss only grows on rocks. It can’t grow on ropes which is why it’s not often farmed and why supply can be limited. Both species grow on rocks however Genus Gracilara can grow on ropes too. Chondrus Crispus ONLY grows on rocks.Chondrus Crispus has flat fan-like wide shape tops that look like leaves or flowers to me at least. The color is typically dark purple however this can vary. Lastly, Chondrus Crispus has a stronger smell than Genus Gracilaria. Genus smells too but is mild in comparison to Irish Moss which might turn some people off.
tempImageXNJvxa.gif


GENUS GRACILARIA​

Genus Gracilaria grows in warmer waters most popular Jamaica and St. Lucia. It’s not exclusive to these areas but these are the areas you often hear this species being sold from. Genus Gracilaria can grow on both rocks and ropes. Genus Gracilaria has a fingered relatively thin string like look to it.The color is typically a yellow golden color however this can vary.

Purple sea moss is another popular variety of sea moss you often see. It’s called “Jamaican Purple Sea Moss” and again is often misinterpreted as Irish Moss. Remember Irish Moss is the Chondrus Crispus species and not Genus Gracilaria regardless of the color.Just because Genus Graciliara comes in the color purple doesn’t make it Chondrus Crispus (Irish Moss).
tempImagetNgv7z.gif
 
sea weed ni mboga za baharini zina majani kabisa kama zilivyo mimea mingine. Sea moss (mwani) hauna majani ni kama spaghetti (tambi)
Sasa hapo ndio tafrani inapoanza, Kwa mfano ni nadra sana kusikia neno sea moss kwenye maeneo yetu, tutakutana na seaweed wakimaanisha mwani.

Hapo ndio hua nachoka
Screenshot_2024-11-20-08-30-03-87_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg


Screenshot_2024-11-20-08-24-44-76_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Mwani (sea moss) ni mojawapo ya mimea inayoota baharini na inalimwa sana zanzibar na mafia.

Nimeona kutoka sehemu mbalimbali wauza dawa mbadala wakiusifia mwani kutibu magonjwa mengi na kuwa chanzo kizuri cha madini joto.

Napata kigugumizi akilini kuamini bila kuwepo kwa tafiti kuthibitisha hilo. Huku nilipo Kisiwa cha Mafia, mwani unapatikana kwa wingi sana, lakini hauna soko kabisa.
View attachment 3155822
Unataka nani akutafitie?
 
hiyo ya kwetu ni seaweed sijawahi kusikia ikiitwa sea moss, na wala sidhani kuwa wataalamu wote pamoja na wale wa sayansi ya bahari kuwa wamekosea.
 
Sasa hapo ndio tafrani inapoanza, Kwa mfano ni nadra sana kusikia neno sea moss kwenye maeneo yetu, tutakutana na seaweed wakimaanisha mwani.

Hapo ndio hua nachoka
Kuna namna yeyote unahusika na hili zao, kulima au kuongezea thamani?
 
hiyo ya kwetu ni seaweed sijawahi kusikia ikiitwa sea moss, na wala sidhani kuwa wataalamu wote pamoja na wale wa sayansi ya bahari kuwa wamekosea.
naona unaufahamu mwani, wewe ni mkulima au unaongezea thamani mwani
 
Sio Moja Kwa Moja lakini Kuna namna nnapofanyia kibarua tunatoa msaada Kwa wakulima wa hili zao.
sawa mkuu, masoko yao yako wapi kiongozi. Wewe unafanyia Zanzibar au sehemu ipi!
 
naona unaufahamu mwani, wewe ni mkulima au unaongezea thamani mwani
nimewahi kufanya kazi kwa nyakati tafauti na wakina mama wakulima wa mwani, tangu miaka ya tisini wakati ndiyo kwanza umeanza kuoteshwa visiwani.
 
Back
Top Bottom