Mwanya wa Orion Wazidi Kutanuka

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258

Inasemekana Kwamba Kuna Tundu Kubwa linalozidi Kutanuka Kila Uchao Angani na wanazuoni wanazidi kuchomba wengine wakienda mbali kabisa kwa kusema ndilo tundu aliloitia Yesu akipaa zake mbinguni na kuzidi kutanuka kwake ni dalili kwamba yi karibu kurudi

IN ORION, THERE REALLY IS A HOLE IN THE SKY


 
Mtoa mada unaelewa maana ya constellation?, huo mwamba hupo sehemu gani?. mi nashauri kabla ya kupost kitu ni bora ukajaribu kupitia pitia. kiufupi ni kwamba hakuna mwamba unaitwa orion isipokuwa ni mpangilio wa nyota na orion mpangilio wake unang'aa na hivyo kuonekana kwa wepesi hata kwa naked eyes hapa duniani

Hiyopicha ni ya naked eyese,
Halafu picha ambazo umeweka hizo ni zile ambazo zimepigwa na NASA kwa kutumia infared telescope, ukitumia device unaona nyota nyingi kiasi cha kwamba unaona kama giant thing.


hIyo ni picha iliyopigwa na NASA. na hivyo ndivyo orion jinsi inavyotokea na hilo lingine ni dust na clouds,
kwa hiyo mkuu hizo ambazo umeandika hapo ni porojo tu na hadithi za kusadikika ambazo hazina ukweli wowote.
 
hili ni jukwaa la kuchota maarifa pia mkuu asante sana kwa ufafanuzi wa kina na vina
 
mkuu orion iko upande gan nikitaka kuiona
 
mkuu orion iko upande gan nikitaka kuiona
Kama upo tanzania ambayo ipo southern hemisphere na pia hatupo mbali na ikweta, njia raisi ni kuamka alfajiri na kuangalia kaskazini magharibi mara huonekana upande huo, kumbuka orion ni mpangilio tu wa nyota kwa hiyo angalia vizuri hiyo image ya kwanza ya naked eyes structure ya hizo nyota jinsi zilivyo.
kuelewa zaidi kuhusu universe download hiki kitabu hapo chini.
http://golibgen.io/noleech1.php?hid...KAUFMANN_Discovering_the_Universe____2007.pdf
 
asante
 
Hivi mtoa mada MBINGUNI ni wapi ??? ( pia si vibaya ukisema kunafananaje, ni kama sayari, jua au Galaxy )
 
Ukiingia humu kama upo shallow unaweza kujua dunia imebakisha masaa mawili tu....maana dah,kuna vitisho vya kufa mtu[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Wewe ni Kafiri ndio maana akitajwa Yesu tu unaanza kujamajamba. [emoji1] [emoji2] [emoji3]


utakuwa mfuasi wa yule aliyeoa wa miaka 9, alipoulizwa kuwa jua linaenda wapi kila ifikapo jioni akasema linaenda kuzama kwenye matope, tehteh
 
utakuwa mfuasi wa yule aliyeoa wa miaka 9, alipoulizwa kuwa jua linaenda wapi kila ifikapo jioni akasema linaenda kuzama kwenye matope, tehteh
[emoji5] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…