Mwanya

blues

Member
Joined
Jul 10, 2014
Posts
59
Reaction score
13
Jamani naomben ushauri mm kijana mwanaume nina mwanya ambao siupendi naweza kwenda kwa wataalam wa meno(dentist) ili wanipachike jino la bandia????
 
Wenyeji wa jukwaa hili vipi mbona kimya?
 
Usiogope hio haitibiki na sio.ugonjwa huna tatizo lolote mkuu be free
 
Najua si ugonjwa ila naweza pata jino la bandia mr?
 
huwezi kutoa hilo jino kama haliumi vingine ni kujiletea matatizo tu
 
Yaani ni hivi nina mwanya nafasi tu kati ya jino moja na jingine siumwi ila napenda nizibe hilo pengo kwa namna itakavyo wezekana mkuu!!
 
Yaani ni hivi nina mwanya nafasi tu kati ya jino moja na jingine siumwi ila napenda nizibe hilo pengo kwa namna itakavyo wezekana mkuu!!

Huo ni mwanya na sio pengo
 
Aisee mimi mme wangu ana mwanya naupendajee akiwa anaongea au akichekaa,
 
Weka pc yake nikuambie kama utafaa kuwekewa la bandia?
 
nenda muhimbili dentist wako pale watakupanga meno vizur na huo mwanya hautaonekana
 
Ila si ulisema hana nguvu za kiume.?hivo hata awe na mwanya kama malaika ni useless..
Hahhahhahahha
Dinazarde

Weeee ni lini nikazungumza hivyoo kua mme wangu hana nguvu acha uchokozi kabisaaa ni rijali haswaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…