Jk is CCM, its all he knows... Aliwahi kusema kuwa yeye anasomea urais... sasa anao, let him be the president.. and not a figure head. Kudefect hawezi lakini anaweza akakinyoosha chama mpaka mkashangaa. IF he wants to, that is another case... kwanza nikummaliza Mkapa, prosecute him... kumfreez account za Uswisi na kumfanya arudishe kadi yake ya CCM.. He has a lot to prove.... kama anania ya kurudisha imani ya Watanzania