LGE2024 Mwanza: Aliyepiga magoti kuomba msamaha kwa wapiga kura, ameibuka kidedea wa nafasi ya uenyekiti wa Mtaa wa Calfonia

LGE2024 Mwanza: Aliyepiga magoti kuomba msamaha kwa wapiga kura, ameibuka kidedea wa nafasi ya uenyekiti wa Mtaa wa Calfonia

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Fadhili Nassoro (CCM) ameibuka kidedea wa nafasi ya uenyekiti wa Mtaa wa Calfonia, Kata ya Nyegezi jijini Mwanza kwa kupata kura 1,649 kati ya kura zilizopigwa 2,198.

Akitangaza matokea leo Jumatano Novemba 27, 2024 msimamizi wa uchaguzi, Christer Nyikizeha, amesema waliojiandikisha kupiga kura ni 2,437, waliopiga kura ni 2,266, idadi ya kura halali ni 2,198 na zilizoharibika ni 68.

Soma Pia: MWANZA: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

Katika matokeo hayo mgombea kupitia Chadema, Yohana Wanga ameshika nafasi ya pili kwa kupata kura 528 na Sauda Ramadhani kutoka SAU akipata kura 22.

Fadhili aliyekuwa anakaimu nafasi hiyo tangu 2019, alijizolea umaarufu baada ya kupiga magoti kuwaomba msahama wakazi wa mtaa huo Oktoba, 2024 alipokuwa kwenye mkutano wa mwisho wa kukabidhi muhuri wa serikali ya mtaa wake.

Screenshot 2024-11-27 223043.png
 
Fadhili Nassoro (CCM) ameibuka kidedea wa nafasi ya uenyekiti wa Mtaa wa Calfonia, Kata ya Nyegezi jijini Mwanza kwa kupata kura 1,649 kati ya kura zilizopigwa 2,198.

Akitangaza matokea leo Jumatano Novemba 27, 2024 msimamizi wa uchaguzi, Christer Nyikizeha, amesema waliojiandikisha kupiga kura ni 2,437, waliopiga kura ni 2,266, idadi ya kura halali ni 2,198 na zilizoharibika ni 68.

Soma Pia: MWANZA: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

Katika matokeo hayo mgombea kupitia Chadema, Yohana Wanga ameshika nafasi ya pili kwa kupata kura 528 na Sauda Ramadhani kutoka SAU akipata kura 22.

Fadhili aliyekuwa anakaimu nafasi hiyo tangu 2019, alijizolea umaarufu baada ya kupiga magoti kuwaomba msahama wakazi wa mtaa huo Oktoba, 2024 alipokuwa kwenye mkutano wa mwisho wa kukabidhi muhuri wa serikali ya mtaa wake.

Maneno/maandishi haya sio mageni hapa mjini, Labda kama wewe ndo mgeni hapa jijini.
 
Fadhili Nassoro (CCM) ameibuka kidedea wa nafasi ya uenyekiti wa Mtaa wa Calfonia, Kata ya Nyegezi jijini Mwanza kwa kupata kura 1,649 kati ya kura zilizopigwa 2,198.

Akitangaza matokea leo Jumatano Novemba 27, 2024 msimamizi wa uchaguzi, Christer Nyikizeha, amesema waliojiandikisha kupiga kura ni 2,437, waliopiga kura ni 2,266, idadi ya kura halali ni 2,198 na zilizoharibika ni 68.

Soma Pia: MWANZA: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

Katika matokeo hayo mgombea kupitia Chadema, Yohana Wanga ameshika nafasi ya pili kwa kupata kura 528 na Sauda Ramadhani kutoka SAU akipata kura 22.

Fadhili aliyekuwa anakaimu nafasi hiyo tangu 2019, alijizolea umaarufu baada ya kupiga magoti kuwaomba msahama wakazi wa mtaa huo Oktoba, 2024 alipokuwa kwenye mkutano wa mwisho wa kukabidhi muhuri wa serikali ya mtaa wake.

Mwanaume kupiga magoti ni udhaifu
 
Back
Top Bottom