Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Yesu alipofufuka waliitwa wanasayansi kudocument hilo tukio? Sasa nyie watu wa Mwanza chukueni fursa hiyo muandike injili yenu kupitia watu wenu. Hiyo ndiyo documentation nzuri kuliko hiyo ya watu wa COSTECHHuko Magu, Mwanza aliyezikwa 2008 kaonekana akiwa hai. Mko wapi COSTECH kufuatilia taarifa, kama hii, ili sayansi yake iwe "documented"?
View attachment 2028022
Mbona Gamboshi wenyewe wanasema hakuna mambo hayo.Alienda gambosi
mwanza ndo zao. Hiyo ilishatokea tena miaka ya kati ya 2009-2011. Wazee wa misukule.Huko Magu, Mwanza aliyezikwa 2008 kaonekana akiwa hai. Mko wapi COSTECH kufuatilia taarifa, kama hii, ili sayansi yake iwe "documented"?
View attachment 2028022
Kweli bado tuko nyuma. Yaani mnaamini huu upuuzi? Nimesikiliza clip lakini aliyeichukuwa hakupenda maelezo yote yasikike. Mtu anaanza kuelezea anakatisha. Haya mambo huwa yanatokea maeneo ambayo yako nyuma kimaendeleo tu. Huko kuna kila aina ya imani potofu. Huyu mama inawezekana walipozika hiyo 2008 walizika kimakosa. Au kuna jambo jingine tu ambalo linahitaji uchunguzi. Hili sakata ukilifuatilia likifuatiliwa na mtu mweledi lazima atagundua kilicho nyuma ya pazia.mwanza ndo zao. Hiyo ilishatokea tena miaka ya kati ya 2009-2011. Wazee wa misukule.
dogo tulia bado mdogo sana, dunia hii inamaajabu, kuwa uyaone uache kusimuliwa, miaka hiyo ya 2009-2011, walimkuta huyo mtoto wao nje ya nyumba yao amekaa, akiwa na minywele mirefu na kucha afu alikuwa hata kuongea haongei tena vzr, walkwenda kuakikisha hospital ya BUGANDO DNA, kweli wakazidi kuamini ni mtoto wao baada ya kuhakikishiwa kwa vipimo na walivorudi kupasua kaburi walikuta mikungu ya ndizi kabisa ya muda mrefu.Kweli bado tuko nyuma. Yaani mnaamini huu upuuzi? Nimesikiliza clip lakini aliyeichukuwa hakupenda maelezo yote yasikike. Mtu anaanza kuelezea anakatisha. Haya mambo huwa yanatokea maeneo ambayo yako nyuma kimaendeleo tu. Huko kuna kila aina ya imani potofu. Huyu mama inawezekana walipozika hiyo 2008 walizika kimakosa. Au kuna jambo jingine tu ambalo linahitaji uchunguzi. Hili sakata ukilifuatilia likifuatiliwa na mtu mweledi lazima atagundua kilicho nyuma ya pazia.
Tena Magu...jirani na Gamboshi??? Hapo Mtemi wenu, Mzee wa Nyoka wa makengeza aulizwe. Alionekana Bungeni anamwaga unga mweupe 😂 😂 😂 😂 😂 😂Huko Magu, Mwanza aliyezikwa 2008 kaonekana akiwa hai. Mko wapi COSTECH kufuatilia taarifa, kama hii, ili sayansi yake iwe "documented"?
View attachment 2028022
Hii babari nimeisoma na kuniacha na maswali mengi bila majibu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]daahKwani Yesu alipofufuka waliitwa wanasayansi kudocument hilo tukio? Sasa nyie watu wa Mwanza chukueni fursa hiyo muandike injili yenu kupitia watu wenu. Hiyo ndiyo documentation nzuri kuliko hiyo ya watu wa COSTECH
Hii babari nimeisoma na kuniacha na maswali mengi bila majibu