Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Kuna Gamboshi kijiji cha kawaida na kuna Gamboshi isiyoonekana ya kichawi.Mbona Gamboshi wenyewe wanasema hakuna mambo hayo.
Zaidi>>>>> Gambosi (Gamboshi) na Nadharia ya uchawi
Ila yote ni gamboshi moja(eneo) hivyo kinacho tofautisha ni nadharia katika eneo husika.Kuna Gamboshi kijiji cha kawaida na kuna Gamboshi isiyoonekana ya kichawi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana siyo eneo moja.Ila yote ni gamboshi moja(eneo) hivyo kinacho tofautisha ni nadharia katika eneo husika.
Kwani gamboshi (sehemu inayo sadikika kuwa na uchawi mwingi) ipo wapi?
Hiyo Gamboshi ya kichawi hakuna mtu anayeijua ilipo, ni kama tunavyosadikishwa akhera.Kwani gamboshi (sehemu inayo sadikika kuwa na uchawi mwingi) ipo wapi?
Hapo nimekupata Maana wengi wanajua gamboshi ni Moja tu ambako ndipo eneo ambalo watu wanaishi kawaida na eneo hilo hilo ambako nadharia ya uchawi ilipo.Hiyo Gamboshi ya kichawi hakuna mtu anayeijua ilipo, ni kama tunavyosadikishwa akhera.
Ukiulizwa, mbinguni ni wapi, hauwezi sema dhahiri upande ilipo mbinguni kwa ufanisi bali kwa hisia za kiimani.
Gamboshi ni jina la kijiji kinachopatikana Bariadi vijijini, ni kijiji cha kawaida kabisa watu wakiendelea na shughuli zao na hakuna masuala hayo kiurasmi na kama yapo, basi ni kama yalivyo katika maeneo mengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana.Hapo nimekupata Maana wengi wanajua gamboshi ni Moja tu ambako ndipo eneo ambalo watu wanaishi kawaida na eneo hilo hilo ambako nadharia ya uchawi ilipo.
Wewe bora unyamaze na kauli yako iishie hapo hapo .Hakuna uchawi unaotegemewa usukumani kama huo, na ni mwingi sana , ndugu acha kabisa, wakikutaka hawakukosi, ukiona mtu ametokezea baada ya kuzikwa, basi ujue aliyewachukua kafariki, usiombe kushuhudia ndugu, utalia kwa uchungu, namna wanavyoteseka!! mimi nilishuhudia kwa macho na niliponea bahati tu. Acha kabisa.Kweli bado tuko nyuma. Yaani mnaamini huu upuuzi? Nimesikiliza clip lakini aliyeichukuwa hakupenda maelezo yote yasikike. Mtu anaanza kuelezea anakatisha. Haya mambo huwa yanatokea maeneo ambayo yako nyuma kimaendeleo tu. Huko kuna kila aina ya imani potofu. Huyu mama inawezekana walipozika hiyo 2008 walizika kimakosa. Au kuna jambo jingine tu ambalo linahitaji uchunguzi. Hili sakata ukilifuatilia likifuatiliwa na mtu mweledi lazima atagundua kilicho nyuma ya pazia.
Kweli tena nilimuona kwa macho yangumwanza ndo zao. Hiyo ilishatokea tena miaka ya kati ya 2009-2011. Wazee wa misukule.
Hivi vitu kama haujajionea unaweza zani maigizo kua havipo kwamba ni usanii tu.Huyu mama kwao ni magu, ila alikuwa ameolewa maeneo ya wilaya Ma$wa . Nilienda kumuona wakati ameonekana. Kweli alikuwa amekufa, na alizikwa kwao wilayani magu kijiji cha n'haya. Na kuna waliokufa alikuwa nao kule aliko kuwa aliwataja majina, ila wao hawajaonekana.
Kumbaff. Tuko nyuma vipi wakati ni sayansi ya kawaida huko kwetu ushashini?Kweli bado tuko nyuma. Yaani mnaamini huu upuuzi? Nimesikiliza clip lakini aliyeichukuwa hakupenda maelezo yote yasikike. Mtu anaanza kuelezea anakatisha. Haya mambo huwa yanatokea maeneo ambayo yako nyuma kimaendeleo tu. Huko kuna kila aina ya imani potofu. Huyu mama inawezekana walipozika hiyo 2008 walizika kimakosa. Au kuna jambo jingine tu ambalo linahitaji uchunguzi. Hili sakata ukilifuatilia likifuatiliwa na mtu mweledi lazima atagundua kilicho nyuma ya pazia.
Kama wewe unakosa majibu sisi itakuwaje😎😎Hii babari nimeisoma na kuniacha na maswali mengi bila majibu
Jambo kama hili liliwahi pia ripotiwa na ITV, kama sikosei ilikuwa 2008 /2009, ila tukio lilitokea moshi. Hadi magazeti yaliandika. Haya mambo yapo sana tu. UshirikinaKweli bado tuko nyuma. Yaani mnaamini huu upuuzi? Nimesikiliza clip lakini aliyeichukuwa hakupenda maelezo yote yasikike. Mtu anaanza kuelezea anakatisha. Haya mambo huwa yanatokea maeneo ambayo yako nyuma kimaendeleo tu. Huko kuna kila aina ya imani potofu. Huyu mama inawezekana walipozika hiyo 2008 walizika kimakosa. Au kuna jambo jingine tu ambalo linahitaji uchunguzi. Hili sakata ukilifuatilia likifuatiliwa na mtu mweledi lazima atagundua kilicho nyuma ya pazia.
Miaka ya 1990s mzee wangu aliwahi kuwa ocd wilaya hiyo ya bariadi kilichopo hicho kijiji cha gamboshi, akikusimulia matukio yaliyokua yanatokea kwenye hicho kijiji unaweza ukashangaa.Hivi vitu kama haujajionea unaweza zani maigizo kua havipo kwamba ni usanii tu.
Ila Binafsi naamini haya mambo na natamani kukutana na mtu aliye patwa na kisanga hicho walau nifanye nae mahojiano.
Maana yangu ni kwamba kuna habari za kutengeneza na kuna habari halisi..huku mitandaoni kuna mengiKama wewe unakosa majibu sisi itakuwaje[emoji41][emoji41]
Sasa umeandika nini mkuu? Point yako ni ipi?Kweli bado tuko nyuma. Yaani mnaamini huu upuuzi? Nimesikiliza clip lakini aliyeichukuwa hakupenda maelezo yote yasikike. Mtu anaanza kuelezea anakatisha. Haya mambo huwa yanatokea maeneo ambayo yako nyuma kimaendeleo tu. Huko kuna kila aina ya imani potofu. Huyu mama inawezekana walipozika hiyo 2008 walizika kimakosa. Au kuna jambo jingine tu ambalo linahitaji uchunguzi. Hili sakata ukilifuatilia likifuatiliwa na mtu mweledi lazima atagundua kilicho nyuma ya pazia.
Nimekusoma mshanaMaana yangu ni kwamba kuna habari za kutengeneza na kuna habari halisi..huku mitanfaoni kuna mengi