KisiwaChaJagwani
Member
- Jun 8, 2016
- 13
- 23
Habari Ndugu zangu nilikuwa nahitaji kufanya biashara katika jiji la mwanza mtaji nilionao ni sh laki tano 500,000/= Nilikuwa naomba ushauri wakimawazo ili niweze kujiajiri kwa hiyo pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KaribuNasom koment
We kama wewe unapenda kufanya nini? Kitu gani una interest nachoHabari Ndugu zangu nilikuwa nahitaji kufanya biashara katika jiji la mwanza mtaji nilionao ni sh laki tano 500,000/= Nilikuwa naomba ushauri wakimawazo ili niweze kujiajiri kwa hiyo pesa
ngoja waje wataalamu wa mambo ila ungesema nini unachopenda kufanya iliwatakao kuja kukusaidia wajue wanaanzia wapi ahsante.Habari Ndugu zangu nilikuwa nahitaji kufanya biashara katika jiji la mwanza mtaji nilionao ni sh laki tano 500,000/= Nilikuwa naomba ushauri wakimawazo ili niweze kujiajiri kwa hiyo pesa
Huu ndo ushauri bora kuwahi kutokea katika uso wa dunia tangu mwaka huu uanzePika chapati kubwa za jero jero uza na maharage.
🙏🙏🙏🙏Huu ndo ushauri bora kuwahi kutokea katika uso wa dunia tangu mwaka huu uanze
Mleta mada ukiuacha huu ushauri utajutia maisha yako yote
👍👍👍🙏🙏🙏🙏
Uzi ufungwe.Pika chapati kubwa za jero jero uza na maharage.
Asante unauzoefu na hii biasharaKwa mtaji wa laki tano unaweza ukanunua mahindi vijijin mwez watano msimu wa mavuno debe Ef 6 ad ef 7 ,gunia la debe kumi hua haizid 60k kwa bei ya Iringa mwez wa tano. ko unaweza jumua gunia 4 kwa 240k.
Saga uza unga mjini. kila debe litakupo zaid ya 20k
Akijibu nitag mkuuAsante unauzoefu na hii biashara
Ndiyo, ingependeza zaidi ufanye utafiti na kujifunza zaidi nenda maeneo ya nyanda za juu kusiniAkijibu nitag mkuu
Hii biashara bana ukipatia location, ongezea na maandazi masaa sita mengi unafunga hesabu zako unaenda kulala.Pika chapati kubwa za jero jero uza na maharage.
Feli yaani Una mtaji halafu haujui biashara ya kufanya?Habari Ndugu zangu nilikuwa nahitaji kufanya biashara katika jiji la mwanza mtaji nilionao ni sh laki tano 500,000/= Nilikuwa naomba ushauri wakimawazo ili niweze kujiajiri kwa hiyo pesa
Kuna watu wanafunga mpaka 200K kwa siku kama faida.Hii biashara bana ukipatia location, ongezea na maandazi masaa sita mengi unafunga hesabu zako unaenda kulala.
Hii biashara ukiipatia sehemu yenye chuo ndio advantages zaidi mimi nakaa maeneo ya chuo kuna mama anapika maandazi na maharage usiku kuanzia saa 1 mpk saa 5 usiku kamaliza na anakanda kwa mashine km bakeryKuna watu wanafunga mpaka 200K kwa siku kama faida.