Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA YESU KRISTO
Hii tukio limetokea mwanza na kuthibitishwa na kamanda mtafungwa
Binti anasoma kidato cha tano huko mkoan Tanga
Apumzike kwa aman sana
Kijana mmoja kwa upumbavu wake kamuua mtoto wa watu kwa sababu za kijinga kabisa
Kama mapenzi yamekushinda au huyawezi achana nayo na ukitaka kufa sisi hatukatai bali kufa peke yako
Wakurya jifunzen achen ujinga wapuuz wakubwa nyie, mwingine mwaka juzi aliua binti wa watu kwa kumpiga risasi
==================
Mwanafunzi anayesoma kidato cha tano katika moja ya shule ya sekondari iliyopo mkoani Tanga, Benadeta Silvester (21) inadaiwa amefariki dunia baada ya kukabwa koo na mpenzi wake, Adamu Kailanga (30) kisha naye kudaiwa kujinyonga kwa mtandio kisa wivu wa mapenzi.
Taarifa ya Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Wilbrod Mutafungwa iliyotolewa leo Jumatano Februari 5, 2025 imesema baada ya kupata taarifa, Askari walifika eneo la tukio na kukuta mwili wa mwanafunzi huyo ukiwa sakafuni na wa Adam ukining'inia juu ya paa la nyumba.
LONDON BOY
Hii tukio limetokea mwanza na kuthibitishwa na kamanda mtafungwa
Binti anasoma kidato cha tano huko mkoan Tanga
Apumzike kwa aman sana
Kijana mmoja kwa upumbavu wake kamuua mtoto wa watu kwa sababu za kijinga kabisa
Kama mapenzi yamekushinda au huyawezi achana nayo na ukitaka kufa sisi hatukatai bali kufa peke yako
Wakurya jifunzen achen ujinga wapuuz wakubwa nyie, mwingine mwaka juzi aliua binti wa watu kwa kumpiga risasi
==================
Mwanafunzi anayesoma kidato cha tano katika moja ya shule ya sekondari iliyopo mkoani Tanga, Benadeta Silvester (21) inadaiwa amefariki dunia baada ya kukabwa koo na mpenzi wake, Adamu Kailanga (30) kisha naye kudaiwa kujinyonga kwa mtandio kisa wivu wa mapenzi.
Taarifa ya Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Wilbrod Mutafungwa iliyotolewa leo Jumatano Februari 5, 2025 imesema baada ya kupata taarifa, Askari walifika eneo la tukio na kukuta mwili wa mwanafunzi huyo ukiwa sakafuni na wa Adam ukining'inia juu ya paa la nyumba.
LONDON BOY