Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Huu ni ukorofi kabisa, CCM kama inapumulia mashine vile afu wanajaribu kutanua mapafu
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
=====
Katika kile kilichoonekana kuwashangaza wengi, ni kuingiliana na kukaribiana kwa mikutano miwili ya kampeni ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na chama cha ACT Wazalendo.
Tukio hilo limetokea Novemba 26, 2024, Mtaa Isamilo, kata Isamilo, Jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza wakati wa mkutano wa ACT ulioongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa ACT bara, Ester Thomas.
Huu ni ukorofi kabisa, CCM kama inapumulia mashine vile afu wanajaribu kutanua mapafu

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
=====
Katika kile kilichoonekana kuwashangaza wengi, ni kuingiliana na kukaribiana kwa mikutano miwili ya kampeni ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na chama cha ACT Wazalendo.
Tukio hilo limetokea Novemba 26, 2024, Mtaa Isamilo, kata Isamilo, Jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza wakati wa mkutano wa ACT ulioongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa ACT bara, Ester Thomas.