Wakati masimamizi wakiendelea kukalia matokeo ya Nyamagana habari zinaeleza kuwa nyumba ya msimamizi Kabwe sasa imezingirwa na vijana wakiwa na nia ya kuitia moto iwapo watatangaza Masha ameshinda.
Hapo inatakiwa matokeo yasitangazwe kwanza manake rafiki yangu CCM kanipigia nao wanajiandaa asipotangawza Masha waanzishe libeneke
Hivi sasa jiji la Mwanza maeneo ya Isamilo zilipo ofisi za Msimamizi wa uchaguzi ni milio ya mabomu na kelele za watu. CCM kwa nini wananganganiza ushidi kiasi cha kuhatarisha maisha ya watu? JK na wenzake wajiandae kama kutatokea vifo basi ni The Hague tu.
huyo masha ni mshkaji wake jk..si unajuwa ndio walimlipia karo ya masters ya riziwani university hapo uingereza...kwa hiyo baba mtu anataka kumlipia fadhila...kwanini asimpe hata u-hauzi boy hapo ikulu awe anamsaidia kuchakachua
Tatizo sio Masha, tatizo ni huyo JK.
Jamani hamjajua kikwete kaona kashindwa anatafuta sababu ya kutangaza hali ya hatari alishasema toka mwanzo kuwa ushindi lazima.kwa sasa chadema waendelee kukusanya vilelezo vya kumshitaki the hague huyu mkwere na masha
chadema kusanyeni vielelezo vya kutosha tumshitaki