oh sh!t!!!!! watanzania roundi hii wameamua wamechoka. you can push the people so far but at some point the people will push back.
it is not about being a peaceful nation, NO! it is about standing up and fighting for what you believe in. for far too long CCM has taken tanzanians for granted and now CCM is about to find out that tanzania belong to tanzanians not CCM.
JK ndicho chanzo cha vurugu aliona kule Kenya lakini hakujifunza lolote lile ya kuwa NEC lazima kiwe chombo huru hakutaka kwa manufaa yake swali linakuja nchi afikiria ataitawala?
roho yangu haina furaha kabisa,siamini haya yanatokea nchini mwangu.kwa nini lakini jamani kung'ang'aniza hata msipotakiwaaaa,eeh mungu tuepeushe na balaal a kuongozwa na mkwere and company,tushachoka.