🔥🙌unaruhusiwa kuzoom
Itakua sehemu nzuri sana for vaccation
Hii itakuwa ndo ile kitombile alipost ipo kwenye ujenzi
Nahisi ndio hioHii itakuwa ndo ile kitombile alipost ipo kwenye ujenzi
Lumumba complex ina basement na underground nzuri sn.RWEGASORA NA LUMUMBA ZINZKUJZA VIZURI SANA PAMOJA NA PAMBA
View attachment 2242488View attachment 2242487RWView attachment 2242486
Kaka huleti picha humu siku hiziLumumba complex ina basement na underground nzuri sn.
Kaka huleti picha humu siku hizi
Kaka huleti picha humu siku hizi
Imekua kali sana 🔥🔥TUNZA BEACH INABADILISHWA , MUONEKANO WAKE MPYA NI KAMA UNAVYOONA HAPA CHINI
View attachment 2242668View attachment 2242669View attachment 2242670View attachment 2242671View attachment 2242675View attachment 2242676View attachment 2242678
tupatie link mkuuView attachment 2250631
Nimeangalia hii picha kwa makini, baada ya miaka 15-20 eneo hili litakuwa tofauti.
1. Nyamagana inaweza kuwa imejengwa majukwaa.
2. Station mpya ya sgr, pamoja na daraja la treni kuelekea bandari ya mwanza north.
3. Capri point inaweza kuwa kuna majengo ya zaidi ya ghorofa kumi na kufanya skyline mpya huko.
4. Barabara ya kenyatta inafanyiwa upembuzi ili ijengwe njia nne.
5. Pembeni ya barabara ya kenyatta kuna kiwanja cha Nyanza NCU, wanatafuta pesa wajenge jengo kubwa la kitega uchumi.
6. Kama BRT ikianza mwanza kutakuwa na kituo kikubwa cha brt karibu na Station kwa mujibu wa mwanza master