Huu mtaa gani Mkuu
Barabara ya balewa hiyo, hilo jengo ni ofisi za mwauwasaHuu mtaa gani Mkuu
Mimi nashauri yajengwe maghorofa kama magomeni then wahamishiwe, badala ya kuwapa fidia,
Ushauri mzuri sana kuliko kuwapa fidia wajengewe maghorofa yakuishi, wakipewa fidia wataenda kuharibu wilaya nyingine za Mwanza.Mimi nashauri yajengwe maghorofa kama magomeni then wahamishiwe, badala ya kuwapa fidia,
Wakipewa fidia wataenda kufanya ujenzi holela kwingine
Baharia karibu sn, upo vizuri nimeona umeupiga mwingi sana kwenye uzi wa Mwanza vs Arusha hakika una madini kama mgodi wa ggm, turudi kwenye mada yetu, kwanza ni kama naona ndoto adi sasa sijaamin huu uwekezaji na kama ni kweli basi jiji letu la Mwanza litapiga hatua sn hapa barani Africa, naomba hao wawekezaji wafanye kweli ili tuone hii ndoto ikitia, Daima Mwanza mbele milele amina.Hii ni Brazil ,,,, wawekezaji wapafanye hiviView attachment 2260794
Mimi nashauri serikali ya mkoa hii fursa haya ndo maendeleo yenyewe sio kwamba wanaoishi milima bila huduma wanapenda ila umasikini tu.Wakipewa hiyo fidia au na viwanja itakuwa sehemu ya kuwakwamua na kuanza maisha mapya na salama na ninahuakika hakuna atayepinga kwa wakazi hawa kama watashirikishwa vizuri na miradi hii ikawa sehemu yao.Wanaosikika wakipiga kelele huko mitandaoni sio wakazi wa Mwanza ila ni maadui wa Mwanza. Hii miradi ingekuwa kwao usingesikia kelele hata kidogo.Naomba Meya simamia hili kwa moyo wako wote wanamwanza tunakuunga mkono.Baharia karibu sn, upo vizuri nimeona umeupiga mwingi sana kwenye uzi wa Mwanza vs Arusha hakika una madini kama mgodi wa ggm, turudi kwenye mada yetu, kwanza ni kama naona ndoto adi sasa sijaamin huu uwekezaji na kama ni kweli basi jiji letu la Mwanza litapiga hatua sn hapa barani Africa, naomba hao wawekezaji wafanye kweli ili tuone hii ndoto ikitia, Daima Mwanza mbele milele amina.
Nakubaliana na wewe ..kazi yetu ni kubainisha kweli na uongo ....mwanza ni great cityBaharia karibu sn, upo vizuri nimeona umeupiga mwingi sana kwenye uzi wa Mwanza vs Arusha hakika una madini kama mgodi wa ggm, turudi kwenye mada yetu, kwanza ni kama naona ndoto adi sasa sijaamin huu uwekezaji na kama ni kweli basi jiji letu la Mwanza litapiga hatua sn hapa barani Africa, naomba hao wawekezaji wafanye kweli ili tuone hii ndoto ikitia, Daima Mwanza mbele milele amina.
Tukiendekeza siasa hii miji yetu itadumaa miaka yote.Nakubaliana na wewe ..kazi yetu ni kubainisha kweli na uongo ....mwanza ni great city
Kumekuwepo na mikakati mizuri ya maendeleo ila politics zinarudisha nyuma maendeleo ya mkoa huu