intelligent man
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 705
- 1,123
Oh saw Mr mkuuNimetoka kidogo ila Christmas narud
Baada ya hapo wataongeza miezi 3 Hadi February 2025Daraja la kigongo busisi lipo asilimia 61 lilitarajiwa kuisha February 2024 badala yake wameongeza miez 8 mpk November 2024
Kaka kuna siku ulituambia utaongea na picha tu, au Unbeaten imekuchanganya🤣🤣🤣Baada ya hapo wataongeza miezi 3 Hadi February 2025
Mi najiuliza hivi kuna member kweli anaishi mwanza maana hakuna update yeyote ya maana hapa weekend hii! Ngoja mi nakujua mwisho wa mwaka Mwanza nije nifanye hii kazi!😂😂Kaka kuna siku ulituambia utaongea na picha tu, au Unbeaten imekuchanganya🤣🤣🤣
Tuna jambo letu Kwa mkapa.. karibu sanaKaka kuna siku ulituambia utaongea na picha tu, au Unbeaten imekuchanganya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji16][emoji16][emoji16] tunategemea post za insta, YouTube na facebook.ndio tupate update.... kingine nawashauri wakazi wa mwanza ,sio lazima upige picha jengo au mradi mzima ...hata ukipiga kile kibao Cha maelezo ya kandarasi inatoshaMi najiuliza hivi kuna member kweli anaishi mwanza maana hakuna update yeyote ya maana hapa weekend hii! Ngoja mi nakujua mwisho wa mwaka Mwanza nije nifanye hii kazi![emoji23][emoji23]
Mheshimwa cha asubuhi si utupie view sasa! Mbona watu mmeanza kuwa na roho mbaya ya uchoyo 😂😂😂😂!Leo nimepata view ya mswahili,voil,pepsi,mchafu kuoga,igogo,tanesco hadi Capri point [emoji16][emoji16]
Mheshimwa cha asubuhi si utupie view sasa! Mbona watu mmeanza kuwa na roho mbaya ya uchoyo 😂😂😂😂!
Zinakuja kiongozMheshimwa cha asubuhi si utupie view sasa! Mbona watu mmeanza kuwa na roho mbaya ya uchoyo 😂😂😂😂!
Shukrani sana kwa updates hizo!
Igogo uswazi [emoji91]Super zoom natumia simu
View attachment 2435824
Leo nimeona pale mswahili wamezungushia mabati marefu upande wa kulia Kama unaenda town ,kuna jengwa nn?Igogo uswazi [emoji91]
Daraja la SGR nguzo zinaanzia hapo hadi station itakapokuwa kama 1km hvLeo nimeona pale mswahili wamezungushia mabati marefu upande wa kulia Kama unaenda town ,kuna jengwa nn?
Hivi kumbe station itakuwa hapo chakechake kwny yale mabehewa mabovu?Nguzo hazifiki station Mkuu