Ilishaaanza kujengwa ni hapo misungwi, nyashishi.View attachment 2456313
Hii inajengwa wapi , ? Pale pale maeneo ya Hotel Frolida ama wapi
Architectural Design for TIA Mwanza Campus
Architectural design for Tanzania Institute of Accountancy involved the design of classes, offices, library and computer rooms.spacearchitects.co.tz
Hapo olympic ghana pembeni wamezungushia bati naona kuna ujenzi mkubwa sana utaanza soonKumbe hapa ndio makao makuu ya Olympic bwana ..
Acha kulialia meya wenu hukumsikia kuwa mnajenga stendi kubwa afrika mashariki na kati hakuna kama hiyo fuatilia media bro.Sa sibora nyie mwanza munakumbukwa je sisi wa Arusha mpka twahisi hatuko Tanzania hii Stend tuu yenyewe mpka leo imebaki ndoto masoko toka miaka ya 2000 mpka leo hakuna hata mabadiliko
Kuhusu soko huyo meya alisema ata kariakoo itasubiri, kuna miradi ya tactic.Sa sibora nyie mwanza munakumbukwa je sisi wa Arusha mpka twahisi hatuko Tanzania hii Stend tuu yenyewe mpka leo imebaki ndoto masoko toka miaka ya 2000 mpka leo hakuna hata mabadiliko
Sema ghana ni extension ya cbd, ila ghana ni balaa asee, nyegezi miaka ijayo itakuwa the new CBD wakati hii ya sasa itakuwa ni old.Ghana patapendeza sana, Mungu atupe uhai tu
Pembeni ukiwa unaelekea wapiHapo olympic ghana pembeni wamezungushia bati naona kuna ujenzi mkubwa sana utaanza soon
[emoji849][emoji849][emoji16][emoji16][emoji16]Kuhusu soko huyo meya alisema ata kariakoo itasubiri, kuna miradi ya tactic.
[emoji849][emoji849][emoji849]Sema ghana ni extension ya cbd, ila ghana ni balaa asee, nyegezi miaka ijayo itakuwa the new CBD wakati hii ya sasa itakuwa ni old.
Hapo pembeni ya hio olympic ghana nazan ni sehemu ya olympicPembeni ukiwa unaelekea wapi
Mbona hili jengo kama halitakuwa refu ..Kwa hizo nguzoLile jengo kubwa la nyegezi, commercia building
View attachment 2456853
Sio zile apartment.kuna render yake ishawahi tumwa na ngokongosha,,Kuna apartment zinatakiwa kujengwa hapo GhanaHapo pembeni ya hio olympic ghana nazan ni sehemu ya olympic
Nazan floor tano au nne lakini ni kubwa sana.Mbona hili jengo kama halitakuwa refu ..Kwa hizo nguzo
Linatosha Kwa hapo nyegeziNazan floor tano au nne lakini ni kubwa sana.
Tosha kabisaa, ingekuwa kwenye cbd ingepasa kulaumu kwanini halifiki ghorofa 10+Linatosha Kwa hapo nyegezi
Hili jengo linamilikiwa na watu wanne .wa familia Moja..wajaluoTosha kabisaa, ingekuwa kwenye cbd ingepasa kulaumu kwanini halifiki ghorofa 10+
Hapo olympic ghana pembeni wamezungushia bati naona kuna ujenzi mkubwa sana utaanza soon
View attachment 2457040itakuwa ni hii project ya Jenga nasiHapo olympic ghana pembeni wamezungushia bati naona kuna ujenzi mkubwa sana utaanza soon