MwanzaSengerema sio mwanza?
Ni uhakika 80%Mmmmh sidhan kama ni kweli
Nyabulogoya?Mlango mmoja inahamishiwa Nyegezi stand ya zamani ambayo ilitumika wakati stend mpya inajengwa
KangaeMwenye picha za mitaa ya kangae ,mecco, nundu , kangae majengo mapya atupie basi tuone palivyo sikuhizi maana wengne tokea 2010 hatujarudi nyumbani nahisi nikirudi nitapotea
[emoji91][emoji91]Mwenye picha za mitaa ya kangae ,mecco, nundu , kangae majengo mapya atupie basi tuone palivyo sikuhizi maana wengne tokea 2010 hatujarudi nyumbani nahisi nikirudi nitapotea
Daaaaaaaah 😌😌😌mkuu Asante Sana ukipata zngne tupiaaa ndugu yangu[emoji91][emoji91]View attachment 2709515View attachment 2709516
Haki ya mungu wallah napotea 😄