Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wakuu,
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura: 20,581
Mpinzani: Mwambino Julius Isack (CHADEMA) – 11,285
Elimu: Shahada ya Uhusiano wa Umma (Public Relations) kutoka Tumaini University (2020)
Biashara: Mmiliki wa Global Publishers Ltd, Global Radio Ltd, Global Television Ltd, na Bwemark Real Estate Ltd
Kazi ya Kisiasa:
Aliingia Bungeni mwaka 2020
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Viwanda, Biashara na Mazingira (2021–2023)
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura: 147,724
Mpinzani: Grayson Wanzagi Warioba (CHADEMA) – 24,022
Elimu:
Master’s Degrees katika Community and Economic Development (2014)
Public Administration and Business Management (2019)
Uzoefu wa Kazi:
Mhasibu
Koordineta wa Kitengo cha Jinsia na Maendeleo cha Caritas Mwanza
Mwenyekiti wa Kamati ya Utawala wa Mkoa wa Mwanza
Kazi ya Kisiasa:
Mbunge wa Ilemela tangu 2020
Naibu Waziri katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi (2016–2020)
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura: 57,943
Mpinzani: Josephat Bonephace Kayanda (CUF) – 1,917
Elimu: Shahada ya Uhandisi ya Umeme kutoka Tanesco Institute (1997)
Biashara: Mkurugenzi Mtendaji wa Mansoor Industries Ltd
Kazi ya Kisiasa:
Mbunge wa Kwimba
Kamati la Kilimo, Mifugo na Maji
Kamati ya Bajeti ya Bunge
Kamati ya Miundombinu
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura: 139,975
Mpinzani: Ndindagi Reginald Kwizela (CHADEMA) – 14,479
Elimu: Astashahada ya Uongozi na Utawala wa Fedha kutoka Chuo cha Uongozi Kijitonyama
Kazi ya Kisiasa:
Mbunge wa Magu
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (2012–2017)
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (2003–2008)
Biashara: Mkurugenzi wa Lugeye Investment na Lugeye Oil
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura: 73,591
Mpinzani: Pambalu John Justine (CHADEMA) – 42,209
Elimu: Shahada ya Uzamili katika Uongozi kutoka Chuo Kikuu cha Mysore, India
Kazi ya Kisiasa:
Mbunge wa Nyashimo
Meya wa Manispaa ya Mwanza (2012–2015)
Kazi za CCM:
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM
Katibu Mkuu wa UVCCM Mwanza
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura: 59,734
Mpinzani: Victoria Benedict Tindabatangile (CHADEMA) – 7,949
Elimu: Shule ya Msingi Nyakato
Kazi za Kisiasa:
Diwani wa Sengerema
Mbunge wa Sengerema
Kamati ya Nishati na Madini ya Bunge
Uongozi wa CCM:
Diwani na Mbunge wa Sengerema
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura: 31,373
Mpinzani: Sangalali Shija Masanja (CHADEMA) – 6,285
Elimu: Shahada ya Uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma
Kazi za Kisiasa:
Diwani wa Lyoma Street
Mbunge wa Sumve
Kamati ya Sheria za Kiutawala
Kazi za CCM:
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Mwanza (2018–2020)
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura: 91,893
Mpinzani: Sijaona James Karoli (CHADEMA) – 23,361
Elimu:
Shahada ya Uongozi wa Biashara (BBA) kutoka St. Augustine University
MBA kutoka Open University of Tanzania
Kazi za Kisiasa:
Mbunge wa Ukerewe
Kamati ya Masuala ya Nje, Ulinzi, na Usalama ya Bunge
Naibu Waziri Kivuli wa TAMISEMI (2015–2018)
Eric Shigongo - MBUNGE WA BUCHOSA
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)Kura: 20,581
Mpinzani: Mwambino Julius Isack (CHADEMA) – 11,285
Elimu: Shahada ya Uhusiano wa Umma (Public Relations) kutoka Tumaini University (2020)
Biashara: Mmiliki wa Global Publishers Ltd, Global Radio Ltd, Global Television Ltd, na Bwemark Real Estate Ltd
Kazi ya Kisiasa:
Aliingia Bungeni mwaka 2020
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Viwanda, Biashara na Mazingira (2021–2023)
2. Angeline Sylvester Lubala - MBUNGE WA ILEMELA
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)Kura: 147,724
Mpinzani: Grayson Wanzagi Warioba (CHADEMA) – 24,022
Elimu:
Master’s Degrees katika Community and Economic Development (2014)
Public Administration and Business Management (2019)
Uzoefu wa Kazi:
Mhasibu
Koordineta wa Kitengo cha Jinsia na Maendeleo cha Caritas Mwanza
Mwenyekiti wa Kamati ya Utawala wa Mkoa wa Mwanza
Kazi ya Kisiasa:
Mbunge wa Ilemela tangu 2020
Naibu Waziri katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi (2016–2020)
3. Mansoor Shanif Jamal - MBUNGE WA KWIMBA
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)Kura: 57,943
Mpinzani: Josephat Bonephace Kayanda (CUF) – 1,917
Elimu: Shahada ya Uhandisi ya Umeme kutoka Tanesco Institute (1997)
Biashara: Mkurugenzi Mtendaji wa Mansoor Industries Ltd
Kazi ya Kisiasa:
Mbunge wa Kwimba
Kamati la Kilimo, Mifugo na Maji
Kamati ya Bajeti ya Bunge
Kamati ya Miundombinu
4. Kiswaga Boniventura Destery - MBUNGE WA MAGU
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)Kura: 139,975
Mpinzani: Ndindagi Reginald Kwizela (CHADEMA) – 14,479
Elimu: Astashahada ya Uongozi na Utawala wa Fedha kutoka Chuo cha Uongozi Kijitonyama
Kazi ya Kisiasa:
Mbunge wa Magu
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (2012–2017)
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (2003–2008)
Biashara: Mkurugenzi wa Lugeye Investment na Lugeye Oil
5. Stanslaus Mabula - MBUNGE WA NYAMAGANA
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)Kura: 73,591
Mpinzani: Pambalu John Justine (CHADEMA) – 42,209
Elimu: Shahada ya Uzamili katika Uongozi kutoka Chuo Kikuu cha Mysore, India
Kazi ya Kisiasa:
Mbunge wa Nyashimo
Meya wa Manispaa ya Mwanza (2012–2015)
Kazi za CCM:
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM
Katibu Mkuu wa UVCCM Mwanza
6. Tabasamu Hamisi Hussein - MBUNGE WA SENGEREMA
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)Kura: 59,734
Mpinzani: Victoria Benedict Tindabatangile (CHADEMA) – 7,949
Elimu: Shule ya Msingi Nyakato
Kazi za Kisiasa:
Diwani wa Sengerema
Mbunge wa Sengerema
Kamati ya Nishati na Madini ya Bunge
Uongozi wa CCM:
Diwani na Mbunge wa Sengerema
7. Kasalali Emmanuel Mageni - MBUNGE WA SUMVE
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)Kura: 31,373
Mpinzani: Sangalali Shija Masanja (CHADEMA) – 6,285
Elimu: Shahada ya Uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma
Kazi za Kisiasa:
Diwani wa Lyoma Street
Mbunge wa Sumve
Kamati ya Sheria za Kiutawala
Kazi za CCM:
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Mwanza (2018–2020)
8. Joseph Mkundi - MBUNGE WA UKEREWE
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)Kura: 91,893
Mpinzani: Sijaona James Karoli (CHADEMA) – 23,361
Elimu:
Shahada ya Uongozi wa Biashara (BBA) kutoka St. Augustine University
MBA kutoka Open University of Tanzania
Kazi za Kisiasa:
Mbunge wa Ukerewe
Kamati ya Masuala ya Nje, Ulinzi, na Usalama ya Bunge
Naibu Waziri Kivuli wa TAMISEMI (2015–2018)