Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Wakuu hii ligi yetu ni bora liende, nimepata taarifa Mechi ya Mbao vs Simba iliyokuwa ipigwe Jumamosi hii katika dimba la CCM Kirumba imerudishwa nyuma na itapigwa Alhamisi ili kupisha tamasha la muziki la Tigo Fiesta.
Sikuwahi kujua Fiesta ina nguvu kubwa kiasi hiki? Only in Tanzania!
Sikuwahi kujua Fiesta ina nguvu kubwa kiasi hiki? Only in Tanzania!