Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
kama waliwahi,je hao wahusika wa mechi hawskujua hiloKama waliwahi ku book uwanja wana haki zote
Sio "halamu" ni "haramu"Hivi fiesta sio mkusanyiko halamu?
"Pambana na kitu ingine ila sio Ruge" (in Ndugai voice')Ruge, the mastermind, usimchezee kabisa yule jamaa, akili kubwa. Mara nyingi huwa hashindwi. Ni mwanamikakati mzuri sana.
Mbao uwanja wao wa nyumbani ni kilumba tangu ligi kuanza hata msimu JanaKwan mbao wamethibitisha kuwa uwanja wa nyumban n CCM kirumba n ln? Na hao fiesta wamebook ln?
Kwani mbao si walishabook kuutumia kama uwanja wa nyumbani na ratiba wakampa mwenye uwanja (ccm)!??Hapo mwenye maamuzi ni mwenye uwanja kawaambia bodi ya ligi jumamosi uwanja unatumika. ... lbd jmosi waipeleke nyamagana. Ila si mara ya kwanza hata mwaka juzi ilitokea Mkwakwani mechi iliwahishwa kupisha fiesta. .... Tatizo ni "mahusiano ya wamiliki wa viwanja na wenye fiesta"
Acha kabisa, Ruge sio wa mchezo mchezo."Pambana na kitu ingine ila sio Ruge" (in Ndugai voice')