Mwanza: Kichanga chatupwa njiani

Mwanza: Kichanga chatupwa njiani

Boran Jakutay

Senior Member
Joined
Apr 8, 2023
Posts
110
Reaction score
259
Mwili wa kichanga kinachokadiriwa kuwa na umri wa wiki tatu umekutwa umetupwa kwenye njia ya mtaa wa Kileleni kata ya Kitangiri wilayani Ilemela mkoani Mwanza hali iliyozua sinfofahamu kwa wananchi wa eneo hilo.

Wakazi wa mtaa huo wamesema majira ya saa moja asubuhi wakati watoto wao wakienda shule waliona kichanga hicho ndipo wakawajulisha wazazi wao ambao walienda na kukiangalia na kukuta kichanga hicho tayari kimeshapoteza maisha.

Chanzi: East Africa TV
 
Wawe wanaweka milangoni
Wanawake wakijifungua wanakuwa wana matatizo ya akili wanaita kichaa cha mimba anaweza hata kuua mtoto wake wanahitaji kuwa chini ya uangaliz wa daktari
 
Back
Top Bottom