Kwani wewe utaruka angani?[emoji24][emoji24]Ameoza lakini bado mnamzungumzia yule mshamba kutoka kanda ile.
Muache apambane na kaburi.
Safi,umemjibu vizuri sana.Tuombe Mungu atupe hekima yake ya Kimungu ili kujua kusudi la maisha yetu hapa duniani na mwisho wa siku tufe kifo chema.
Mungu atupe hekima na busara Amin.Safi,umemjibu vizuri sana.Tuombe Mungu atupe hekima yake ya Kimungu ili kujua kusudi la maisha yetu hapa duniani na mwisho wa siku tufe kifo chema.
Yule ndiye hakuwa na busara na maarifa ya kujua maisha haya ni ya kupita tu!Safi,umemjibu vizuri sana.Tuombe Mungu atupe hekima yake ya Kimungu ili kujua kusudi la maisha yetu hapa duniani na mwisho wa siku tufe kifo chema.
Anapambana na Moto wa gasAmeoza lakini bado mnamzungumzia yule mshamba kutoka kanda ile.
Muache apambane na kaburi.