figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Juzi akiwa wilayani Igunga mkoani Tabora, Waziri Bashe, alisema atafanya ziara katika Jimbo la Mbunge huyo na kuzungumza na wananchi, lengo ni kuwauliza kama wanahitaji serikali iendelee kuwapatia huduma za pembejeo na ugani.
Bashe alisema kuwa Mbunge huyo amekuwa akitoa tuhuma kwa serikali juu ya huduma hizo kuwa hazina ubora, lakini wanunuzi wa pamba wamekuwa wakiwaibia wakulima.
Leo Septemba 13, 2024, Waziri Bashe amezungunza na wananchi wa jimbo hilo, katika mkutano wa hadhara unaofanyika katika Kijiji cha Mwandoya, mkutano ambao Mpina amehudhuria.
Imeandaliwa na Derick Milton
Pia, soma: