LGE2024 MWANZA: Matukio yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

LGE2024 MWANZA: Matukio yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

WanaJF,​

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Mwanza. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kushiriki na wengine

Mwanza.jpg

Mkoa wa Mwanza ni moja ya mikoa muhimu nchini Tanzania, ukiwa katikati ya Kanda ya Ziwa na ukipakana na Ziwa Victoria. Ni mkoa wa pili kwa idadi ya watu baada ya Dar es Salaam na ni kitovu cha biashara, usafiri, na uchumi wa Kanda ya Ziwa.

MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA MWANZA
Katika muhtasari wa maeneo ya utawala, mkoa huu una halmashauri ambazo zimegawanyika katika mamlaka za miji na wilaya.

Mwanza LGA.png

1. Idadi ya Watu

Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya 2022, Mkoa wa Mwanza una jumla ya watu wapatao 3,690,499.

SOMA PIA: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

2. Wilaya za Mkoa wa Mwanza

Mkoa wa Mwanza una jumla ya wilaya 8, ambazo ni:
  • Ilemela (Halmashauri ya Manispaa)
  • Nyamagana (Halmashauri ya Jiji)
  • Magu
  • Misungwi
  • Kwimba
  • Sengerema
  • Ukerewe
  • Buchosa

3. Idadi ya Majimbo ya Uchaguzi

Mwanza ina jumla ya majimbo 9 ya uchaguzi:
  • Jimbo la Nyamagana
  • Jimbo la Ilemela
  • Jimbo la Magu
  • Jimbo la Misungwi
  • Jimbo la Kwimba
  • Jimbo la Sengerema
  • Jimbo la Buchosa
  • Jimbo la Ukerewe
  • Jimbo la Sumve
 
Viunganishi vinavyohusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 mkoa wa Mwanza

 

WanaJF,​

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Mwanza. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kushiriki na wengine


Mkoa wa Mwanza ni moja ya mikoa muhimu nchini Tanzania, ukiwa katikati ya Kanda ya Ziwa na ukipakana na Ziwa Victoria. Ni mkoa wa pili kwa idadi ya watu baada ya Dar es Salaam na ni kitovu cha biashara, usafiri, na uchumi wa Kanda ya Ziwa.

MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA MWANZA
Katika muhtasari wa maeneo ya utawala, mkoa huu una halmashauri ambazo zimegawanyika katika mamlaka za miji na wilaya.


1. Idadi ya Watu

Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya 2022, Mkoa wa Mwanza una jumla ya watu wapatao 3,690,499.

SOMA PIA: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

2. Wilaya za Mkoa wa Mwanza

Mkoa wa Mwanza una jumla ya wilaya 8, ambazo ni:
  • Ilemela (Halmashauri ya Manispaa)
  • Nyamagana (Halmashauri ya Jiji)
  • Magu
  • Misungwi
  • Kwimba
  • Sengerema
  • Ukerewe
  • Buchosa

3. Idadi ya Majimbo ya Uchaguzi

Mwanza ina jumla ya majimbo 9 ya uchaguzi:
  • Jimbo la Nyamagana
  • Jimbo la Ilemela
  • Jimbo la Magu
  • Jimbo la Misungwi
  • Jimbo la Kwimba
  • Jimbo la Sengerema
  • Jimbo la Buchosa
  • Jimbo la Ukerewe
  • Jimbo la Sumve
Leo ndio leooo
 
Baghosha na Mankima

Wabheja sana Wakuu

Haya sasa Mwanza inaamua leo
 
Back
Top Bottom