Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ushahidi huu hapa, mimi sitaongeza neno lolote, jionee mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tomaso bado huamini ?Huu ni uchochezi onesha angle zote hadi kutoka juu
huo uongo leo tumejaza nyomi kama loteTomaso bado huamini ?
Nimesikia hiyo tetesi bali nawaomba sana ndugu wananchi Tudumishe amaniHayo manguo Yao yashaanza kuchunda, muda si mrefu wataanza kulambwa bakora kitaa
liweke hapa sasahuo uongo leo tumejaza nyomi kama lote
Wameyavaa muda mrefu hata hivyo tangu 2016, acha wachapwe tuNimesikia hiyo tetesi bali nawaomba sana ndugu wananchi Tudumishe amani
Huu ni ngazi ya mkoa au wilaya ule wa chama kile ilikuwa wa Taifa so usilinganishe nadhaniUshahidi huu hapa , mimi sitaongeza neno lolote , jionee mwenyewe .
View attachment 2506507View attachment 2506508View attachment 2506509
Hivi ndo viwanja vya furahisha?Ushahidi huu hapa , mimi sitaongeza neno lolote , jionee mwenyewe .
View attachment 2506507View attachment 2506508View attachment 2506509
Picha rasmi ni ile inayoonyesha Umati halisi,wakati mkutano ukiendelea!Wameyavaa muda mrefu hata hivyo tangu 2016, acha wachapwe tu
kwahiyo mnapanua magoli eeee !Huu ni ngazi ya mkoa au wilaya ule wa chama kile ilikuwa wa Taifa so usilinganishe nadhani
Una uliza jibu ??? Pigia mstari mkuuHivi ndo viwanja vya furahisha?
yesHivi ndo viwanja vya furahisha?
Wanaccm hawana mood ya mikutano isiyo ya lazima. Wako kupambana na kupanda bei vyakula.Ushahidi huu hapa , mimi sitaongeza neno lolote , jionee mwenyewe .
View attachment 2506507View attachment 2506508View attachment 2506509
Ulishawahi kufika au hua unapasikia tuu?
Hata sijui unaandika nini ! Jiwe ambaye hakuwahi kuwa hata katibu kata anawezaje kuondoka na ccm ?Picha rasmi ni ile inayoonyesha Umati halisi,wakati mkutano ukiendelea!
Pia tungeona nahutubiaji!
0icha zote zimepigwa muda usiojulikana,huenda ilikuwa mapema kabla ya muda rasmi.
Kwa sababu,mpigaji tayari alikuwa na lengo rasmi la kuitumia picha yake,kujaribu kujibu mapigo ya kudorola kwa mikutano ya Chadema kanda ya Ziwa.
Pia hata kwa umati huo,ukizingatia kwa sasa,wananchi hawatofautishi kati ya Chadema wala CCM, kwa sababu kati ya hao hakuna mtetezi wao.
Bali genge la walamba asali.
CCM halisi aliondoka nayo huyu mwamba
[emoji116][emoji116]
View attachment 2506525
kumbe nao ni Wanyonge !Wanaccm hawana mood ya mikutano idixo ya lazima. Wako kupambana na kupanda bei vyakula.
Yani tumewaonjesha angalau kidogo mnaanza kututambia sio?Wameyavaa muda mrefu hata hivyo tangu 2016, acha wachapwe tu