navigator msomi
Senior Member
- May 8, 2018
- 188
- 224
Wadau kama nilivokwisha kutoa habari hapo kabla ya kuwa na nia ya kuja kuishi mwanza, hatimae nimetimba kibabe takribani zinakatika wiki mbili...
Kwasasa niko maeneo ya Buhongwa Nyamagana ila cha ajabu mpaka saizi sijaona inshu gani nifanye ili niweze ingiza mia mbili tatu.
Kuanzia asubuhi mpaka saa saba nina kibarua hua nafanya kinachoniingizia kipato fulani,ila lengo langu nataka ongeza kipato kwa njia nyingine hasa muda ambao ninakua free kuanzia saa nane.
Mtaji nilionao mpaka saizi cash in hand ni 10ml lakini nataka nipate inshu ambayo haitozidi 1m ili niweze masta mazingira kwanza then baadae ndio naweza jilipua mtaji mkubwa..
Naombeni wadau mnipe direction hasa kwa wenyeji wa Mwanza kipi kinaweza nipatia hata ka faida ka buku tano kila sikuuu asanteeeeni
Kwasasa niko maeneo ya Buhongwa Nyamagana ila cha ajabu mpaka saizi sijaona inshu gani nifanye ili niweze ingiza mia mbili tatu.
Kuanzia asubuhi mpaka saa saba nina kibarua hua nafanya kinachoniingizia kipato fulani,ila lengo langu nataka ongeza kipato kwa njia nyingine hasa muda ambao ninakua free kuanzia saa nane.
Mtaji nilionao mpaka saizi cash in hand ni 10ml lakini nataka nipate inshu ambayo haitozidi 1m ili niweze masta mazingira kwanza then baadae ndio naweza jilipua mtaji mkubwa..
Naombeni wadau mnipe direction hasa kwa wenyeji wa Mwanza kipi kinaweza nipatia hata ka faida ka buku tano kila sikuuu asanteeeeni