Mwanza: Natafuta kiwanja Mwanza Kwa budget ya tsh 5M hadi 7M

Mwanza: Natafuta kiwanja Mwanza Kwa budget ya tsh 5M hadi 7M

J23

Senior Member
Joined
Nov 11, 2016
Posts
151
Reaction score
193
Wadau wote wa JF poleni na majukumu.

Nimetenga 5M hadi 7M, Natafuta kiwanja Mwanza kiwe halmashauri ya ilemela au nyamagana.

Sifa za eneo

1. Kiwe sehemu tambalale au mwinuko mdogo unaoruhusu gari kufika na kupaki
2. Kiwe kimepimwa na kina hati.
3. Kisiwe kwenye mkondo wa maji
4. Kiwe eneo ambalo napanda daladala Moja kufika mjini au nauli isiozidi tsh 1000.
5. Kisiwe kwenye makazi holela au kiwe eneo wanajenga Kwa kufuata mpango miji.
6. Pawe na huduma ya kijamii kama umeme na maji yamefika.

Zingatia
Wadau Mimi ni mgeni Mwanza na siufahamu vizuri mji huu hivyo napenda kuwaomba wadau mnipe ushauri ni maeneo yapi ni mazuri Kwa kuishi na kuweka makazi ya kudumu.

Kama kuna mtu anauza site nzuri zaidi naweza ongeza offa hadi kufikia 10M kulingana na ukubwa wa eneo na mahali kilipo.

Taratibu zote za ununuzi wa ardhi zitafuta ikiwemo ku verify hati kama ni halali kwenye mamraka husika na kufanya tathmini ya ardhi kama ni value for maney.

Njoo pm kama unacho kiwanja Mwanza na unauza.
 
Nenda Luchelele ni sehemu ambayo nafahamu utapata kiwanja kizuri kwa bei nafuu na ni sehemu inayoanza kukua kwa kasi
 
  • Thanks
Reactions: J23
Wadau wote wa JF poleni na majukumu.

Nimetenga 5M hadi 7M, Natafuta kiwanja Mwanza kiwe halmashauri ya ilemela au nyamagana.

Sifa za eneo
1. Kiwe sehemu tambalale au mwinuko mdogo unaoruhusu gari kufika na kupaki
2. Kiwe kimepimwa na kina hati.
3. Kisiwe kwenye mkondo wa maji
4. Kiwe eneo ambalo napanda daladala Moja kufika mjini au nauli isiozidi tsh 1000.
5. Kisiwe kwenye makazi holela au kiwe eneo wanajenga Kwa kufuata mpango miji.
6. Pawe na huduma ya kijamii kama umeme na maji yamefika.

Zingatia
Wadau Mimi ni mgeni Mwanza na siufahamu vizuri mji huu hivyo napenda kuwaomba wadau mnipe ushauri ni maeneo yapi ni mazuri Kwa kuishi na kuweka makazi ya kudumu.

Kama kuna mtu anauza site nzuri zaidi naweza ongeza offa hadi kufikia 10M kulingana na ukubwa wa eneo na mahali kilipo.

Taratibu zote za ununuzi wa ardhi zitafuta ikiwemo ku verify hati kama ni halali kwenye mamraka husika na kufanya tathmini ya ardhi kama ni value for maney.

Njoo pm kama unacho kiwanja Mwanza na unauza.
Ukiwa na interest, kuna mtu anauza kipo Bukumbi, ni karibu na hospitali ya Bukumbi na karibu pia na daraja la magufuri
 
  • Thanks
Reactions: J23
Nenga Ng'ombe next to usagara utapata viwanja kwa bei nafuu
 
Huko mbona mbali Sana na mjini.
Mwaka 1996 niliuziwa kiwanja kilimahewa, nilikataa kununua kwa sababu ni mbali na mjini, kwa sasa kupata kiwanja hapo kama huna 100milioni huwezi kupata.

Ndugu yangu mwingine akaniuzia eneo la majaruba pale Nyamongolo ilipo standi kuu ya Magufuli sasa hivi, nilikataa maana ni majaruba haraf palikuwa hapaeleweki.

Baadae nilinunua pale Buhongwa karibu sana na soko kwa milion 1.5, mwaka jana nilipauza kwa 54milion.

Unaposema Bukumbi ni mbali na mjini ni sawa na kusema huwezi kununua kiwanja Goba kwa kuwa ni mbali na mjini, nakushangaa
 
Ne
Wadau wote wa JF poleni na majukumu.

Nimetenga 5M hadi 7M, Natafuta kiwanja Mwanza kiwe halmashauri ya ilemela au nyamagana.

Sifa za eneo
1. Kiwe sehemu tambalale au mwinuko mdogo unaoruhusu gari kufika na kupaki
2. Kiwe kimepimwa na kina hati.
3. Kisiwe kwenye mkondo wa maji
4. Kiwe eneo ambalo napanda daladala Moja kufika mjini au nauli isiozidi tsh 1000.
5. Kisiwe kwenye makazi holela au kiwe eneo wanajenga Kwa kufuata mpango miji.
6. Pawe na huduma ya kijamii kama umeme na maji yamefika.

Zingatia
Wadau Mimi ni mgeni Mwanza na siufahamu vizuri mji huu hivyo napenda kuwaomba wadau mnipe ushauri ni maeneo yapi ni mazuri Kwa kuishi na kuweka makazi ya kudumu.

Kama kuna mtu anauza site nzuri zaidi naweza ongeza offa hadi kufikia 10M kulingana na ukubwa wa eneo na mahali kilipo.

Taratibu zote za ununuzi wa ardhi zitafuta ikiwemo ku verify hati kama ni halali kwenye mamraka husika na kufanya tathmini ya ardhi kama ni value for maney.

Njoo pm kama unacho kiwanja Mwanza na unauza.
nenda tausi serikali inauza viwanja huko ilemela Tena vina hati
 
Wadau wote wa JF poleni na majukumu.

Nimetenga 5M hadi 7M, Natafuta kiwanja Mwanza kiwe halmashauri ya ilemela au nyamagana.

Sifa za eneo

1. Kiwe sehemu tambalale au mwinuko mdogo unaoruhusu gari kufika na kupaki
2. Kiwe kimepimwa na kina hati.
3. Kisiwe kwenye mkondo wa maji
4. Kiwe eneo ambalo napanda daladala Moja kufika mjini au nauli isiozidi tsh 1000.
5. Kisiwe kwenye makazi holela au kiwe eneo wanajenga Kwa kufuata mpango miji.
6. Pawe na huduma ya kijamii kama umeme na maji yamefika.

Zingatia
Wadau Mimi ni mgeni Mwanza na siufahamu vizuri mji huu hivyo napenda kuwaomba wadau mnipe ushauri ni maeneo yapi ni mazuri Kwa kuishi na kuweka makazi ya kudumu.

Kama kuna mtu anauza site nzuri zaidi naweza ongeza offa hadi kufikia 10M kulingana na ukubwa wa eneo na mahali kilipo.

Taratibu zote za ununuzi wa ardhi zitafuta ikiwemo ku verify hati kama ni halali kwenye mamraka husika na kufanya tathmini ya ardhi kama ni value for maney.

Njoo pm kama unacho kiwanja Mwanza na unauza.
Boss nenda buswelu au kisesa ndio maeneo ambayo sahiz miji inakuwa Fasta sana ukiweza nicheki nikuunganishe na mtu anayehusika na viwanja anavyo vingi sana na vimepimwa nikuchagua wewe tu
 
  • Thanks
Reactions: J23
Back
Top Bottom