Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
wazee wa kuchomelea vyuma vizito, vigumu
mashine hio hapo inafanya kazi vizuri sana.
niko mwanza igoma
bei elekezi ni Milioni moja Tsh.
Tuwasiliane Whatsapp +255772225555
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tumia hearing aid mkuuMillion??
chukua mali mkuuKwa nini unauza machine nzuri hivi, heavy duty machine hii.
Ninayo ya kawaida, na ya kuchaji battery za magari.chukua mali mkuu
kuna mdau hapo juu amelalamikia bei, vipi nimekosea kuuza hio mashine kwa mil 1?Ninayo ya kawaida, na ya kuchaji battery za magari.
Kitu kinaweza kuwa na thamani kubwa, ila uhitaji wako wa hela ukafanya kikashuka thamani. Sijui umeelewa!kuna mdau hapo juu amelalamikia bei, vipi nimekosea kuuza hio mashine kwa mil 1?
overstoodKitu kinaweza kuwa na thamani kubwa, ila uhitaji wako wa hela ukafanya kikashuka thamani. Sijui umeelewa!
you too my friendAll the best