Mwanza: Nimekutana na handsome balaa


Mazungumzo:
Mkaka Shababi: we sista njoo
Chuma Kipepeo: haya
Mkaka Shababi: waitwa nani
Chuma Kipepeo: siongeagi na waume za watu
Mkaka Shababi: mimi bachela
Chuma Kipepeo: mimi siko singo
Mkaka Shababi: waenda wapi
Chuma Kipepeo: kuchukua mtoto shule
Mkaka Shababi: ok, nipe namba yako
Chuma Kipepeo: sitoi namba kwa stranger
Mkaka Shababi anachukua simu ya Chuma Kipepeo anaingiza namba zake na kujibipu,
Mkaka Shababi: baada ya lisaa nitakucheki mchumba
Kipepeo Chuma: hehehehe haya

Hata wale wa Uwanja wa Fisi wanaringa ringa kidogo [emoji849]
 
Wake za watu hawa,,,,,,,,, acha nikae kimya.

Ingependeza mngepiga 3some kabisa au orgy.

Ili umalize ugwadu wako vizuri.
 
Afu unakuta anawadogo zake wa kike wanaojua huyu ni dada mkubwa .Leo linaenda liwa na kibarua wa pamba
 
sawa umefanya vizuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…