Mwanza: Rais Samia asisitiza Tafiti kubaini chanzo cha Saratani Kanda ya Ziwa

Mwanza: Rais Samia asisitiza Tafiti kubaini chanzo cha Saratani Kanda ya Ziwa

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu Tafiti kujikita zaidi katika kubaini kwanini Kanda ya Ziwa inaongoza kwa Waathirika wa Saratani, ikielezwa Wanawake ni wahanga wakubwa wakikumbwa na Saratani za Kizazi na Matiti

Ameeleza hayo leo Novemba 18, 2021 Mkoani Mwanza wakati akishiriki Maadhimisho ya Jubilei ya Miaka 50 ya Hospitali ya Bugando

Amesema, "Kuna sababu kadhaa zinatolewa, wengine tunasema labda ni uchafuzi wa mazingira. Nitie shime kuendeleza tafiti hizi kubaini ni kwanini ili tuchukue hatua"

FEdwPU9XsAAaHde


FEdxDBvXoAAYVn-


FEdvuJ8XoAYFSGO

 
Wataalamu wetu huko BUGANDO waendelee kutafiti.....

Chifu mkuu Hangaya ameshanena.........


#SIEMPRE CHIFU HANGANYA🙏
#NCHI KWANZA🙏
 
Nadhani sababu inajulikana, usafishaji wa madini na hiyo zebaki kwenda kwenye maji ya kunywa! jamani nilikimbia shule. wataalamu watupe majibu
 
Back
Top Bottom