Mwanza Vs Dodoma

Mwanza Vs Dodoma

mama dunia

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
420
Reaction score
84
Hi Wanajamvi, hope mpo poa,

Mi ninaomba maoni yenu maana napenda sana ze ushauri from humu jamvini!

Sasa nina plan au lengo langu kuu/GOAL ya 5 to 10 yrs ni kujenga Hotel atleast ya nyota 3 katika mkoa mmojawapo yaani kati ya Mwanza au Dodoma, Nilifikiria Dar ila nikaona competition itakuwa kubwa saana itabidi nitumie nguvu sana katika kuipromot so nikaona atleast kati ya Mikoa ya Mza na Dodoma inaweza kuleta mapato yanayoridhisha ukitegemea ni mikoa inayokuwa kwa kasi, Mie binafsi nilipenda Mwanza ila rafiki yangu mmoja akaniambia Dom ni pazuri zaidi, so up now bado sijaamua wapi ninunue plot, ninaplan kununua plot July Mwaka huu then nipumzikeee hadi may be miaka kadhaa kupita ndo nianze ujenzi maana sina uwezo mkubwa kivilee ila kwasasa nataka ninunue plot kwanza ambayo inaweza kuwa isipungue kama heka 3 hivi.So naomba mawazo yenu katika kuchagua kati ya mwanza ama Dodoma ninunue plot wapi,

Nawasilisha, asanteni🙂
 
hata mimi nakushauri Dom kama alivyopendekeza huyo rafiki yako. Wabunge wanalalaga hadi kwenye vigest vya uchocholoni, si kwa kutaka kusave, ila ni kwa vile sehemu nzuri nzuri zinakuwa zimejaa full. Baadhi yao wanalipiaga mwaka mzima hata kama halali hapo - of course kuna kuwa na makubaliano fulani ikiwa ni pamoja na discount
 
Dodoma poa mama, maana vikao vya bunge,mikutano ya ccm ukichanganya na Udom biashara itakuwepo hasa miaka ijayo.
 
Hi Wanajamvi, hope mpo poa,

Mi ninaomba maoni yenu maana napenda sana ze ushauri from humu jamvini!

Sasa nina plan au lengo langu kuu/GOAL ya 5 to 10 yrs ni kujenga Hotel atleast ya nyota 3 katika mkoa mmojawapo yaani kati ya Mwanza au Dodoma, Nilifikiria Dar ila nikaona competition itakuwa kubwa saana itabidi nitumie nguvu sana katika kuipromot so nikaona atleast kati ya Mikoa ya Mza na Dodoma inaweza kuleta mapato yanayoridhisha ukitegemea ni mikoa inayokuwa kwa kasi, Mie binafsi nilipenda Mwanza ila rafiki yangu mmoja akaniambia Dom ni pazuri zaidi, so up now bado sijaamua wapi ninunue plot, ninaplan kununua plot July Mwaka huu then nipumzikeee hadi may be miaka kadhaa kupita ndo nianze ujenzi maana sina uwezo mkubwa kivilee ila kwasasa nataka ninunue plot kwanza ambayo inaweza kuwa isipungue kama heka 3 hivi.So naomba mawazo yenu katika kuchagua kati ya mwanza ama Dodoma ninunue plot wapi,

Nawasilisha, asanteni🙂

Mkuu, Mwanza mkoa wangu lakini Dodoma una nafasi nzuri sana ya kufanya biashara ya Hotel kuliko Mwanza.
 
Back
Top Bottom