Mwanza vs Nakuru

Alaf hamjui kwann Mwanza hawataki kuishindanisha na mombasa kwasabbau mombasa majengo yakizaman yamechakaa alaf Barabara za town zote mbovu, no plan alaf kwenye slum ndio mutacheka vzr,kama wao wanaume walete battle mombasa na Mwanza alaf niwaoneshe mombasa ilivo worse hhahhahahaha
 
Realising the right to total sanitation in Nakuru’s slums
Many of us are used to having a toilet in our homes. Some of us have two or three. In the Nakuru slums, one toilet - a simple pit latrine - is shared by up to 240 people. Imagine what that must be like.

Practical Action's ambitious project, funded by Comic Relief, will improve the quality of life for slum communities of 190,000 people, by providing access to safe, hygenic toilets and hand washing facilities.

In addition the project will establish mechanisms and capacity within local institutions to enable them to implement this approach in the remaining slums in Nakuru and more widely across Kenya
.
 
 

Attachments

  • 651e2c50ga193fa8c187e690.jpg
    34.8 KB · Views: 87
  • 651e2c50ga193e0575d3e690.jpg
    34.5 KB · Views: 87
  • 651e2c50ga193e0298f4f690.jpg
    38.1 KB · Views: 80
  • 651e2c50ga193fa8c187e690.jpg
    34.8 KB · Views: 83
  • 651e2c50ga193e0575d3e690.jpg
    34.5 KB · Views: 80
  • 651e2c50ga193e0298f4f690.jpg
    38.1 KB · Views: 79
Ubishi wanini
Nikuambie kitu
Fanya hivi
Leta Nakuru Vs Dodoma basi
Dodoma si jiji
Lakini Utajua motowake
Hawez kuleta mombasa anaijua ni mji was aina gani ailete mombasa na Mwanza alaf nifungue ukurasa wa slum na majumba mabovu yaliyo town na Barbara zote mbovu za town mombasa alete hapa tumuoneshe hhahhhahahha Mwanza mji unajengwa kisasa uringanishe na mombasa mji wakizaman vichochoro ndo vimejazana majumba mabovu yanaanguka kila leo. Hawa kama nilivokwambia hua wanadhani bado ni ile tz ya 90s hio ndio akili ya wakenya wote
 
We ulifika 90s sio 2017 ndio maana mdomo wako unakufunguka sana mm Kenya nilivoizunguka hunambii kitu tena mombasa ndio kabisa na kama unatka nikuoneshe mombasa ni mji worse namna gni fungua link nipambane mm pekeangu na nyie wakenya wote
 
Na mm nakwambia iekwe battle ya Mwanza na mombasa kama hatukukimbiana humu ndani hhahhaha
 
Kwanzia lungalunga mpaka likoni mpaka city centre mombasa hakuna barabara zote mbovu zote nenda mwembe tayari,mwembe kuku sijui chuda hahhahaha sijui tuskeys bandari na hata ile mombasa road kwenda Nai hahahha mutacheka,mpaka nyali bridge barabara mashimo alaf unataka kuleta kifua na Mwanza hapa sijagusa slum,sijakusa majumba mabovu town hahha munakaa kukanyagana pale likoni utasema kondoo na mbuzi wanapita alaf ulete kifua na planed city Mwanza hahhaa na kisumu naisubiria ili niwaoneshe gumzo ya dunia ilioko kisumu hahaha
 
Maana kisumu in city pekee Africa taxi ndio baiskeli town hakuna taxi, taxi kwao ni baiskeli na Pikipiki alaf anakwambia mtu is a city hahahahhah na anaebisha apanue mdomo hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…