A
Anonymous
Guest
BUHONGWA KAMA JANGWANI
Wakazi wa Buhongwa jijini Mwanza hatuna maji ya uhakika. Kutoka vyanzo visivyo rasmi inasadikika wafanyakazi wa idara ya maji wana miradi yao ya kuuza maji ambapo hukata maji kwa makusudi na kuyafungulia nyakati za usiku waweze kujaza matenki yao na kisha kuyauza kwa wakazi kwa bei wanayoitaka wao.
Kwa fikra za kawaida tu majukumu ya kazi huisha saa 12 jioni, sasa huyu anayefungua maji saa kumi au saa nane usiku ni mfanyakazi wa aina gani?
Wakazi wa Buhongwa jijini Mwanza hatuna maji ya uhakika. Kutoka vyanzo visivyo rasmi inasadikika wafanyakazi wa idara ya maji wana miradi yao ya kuuza maji ambapo hukata maji kwa makusudi na kuyafungulia nyakati za usiku waweze kujaza matenki yao na kisha kuyauza kwa wakazi kwa bei wanayoitaka wao.
Kwa fikra za kawaida tu majukumu ya kazi huisha saa 12 jioni, sasa huyu anayefungua maji saa kumi au saa nane usiku ni mfanyakazi wa aina gani?