Mwanza: Wanafunzi Mapacha wa Chuo cha Mipango wafariki Dunia kwa kuzama Ziwa Victoria

 
Usipoamini kama kuna majini unatakiwa usiamini kama kuna dini, kifupi usiwe na imani yoyote kabisa na ili usiwe na imani yoyote basi usiwe na hisia pia. Je, wewe ni nani?

Jibu ni simple MFU.

kwaheri Mkuu.
 
Jini bahari linakaa na ziwani? Linawauwa watu? Kuna mwingine kasema ni samaki which is which, ni samaki ni jini?
Kwenye maji Kuna viumbe vinaishi Kuna mapepo wabaya pia,majini Yana Uwezo wa kujibadilisha Kila umbo...ukiingia anga zao umekwisha
 
Nadhani ww ni wale wasioamini Kila kitu hapa duniani.....bila shaka itakuwa bado unaishi nyumbani kwa mama na baba ndio maana unaona maisha yanaenda tu....jifunze kujifunza ya ulimwengu...unajifungia mwishowe unajiona unajua kumbe hujui....
 
Sp sad aisee, pole kwa wazazi. The pain is unbearable!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…