21 May 2024
Mwanzo - Mwisho: Mhadhara wa Kiprofesa na Profesa Rwekaza Mukandala
Mhadhara wa Kiprofesa kuhusu dola , Masoko, na Kufeli kwa Kitaasisi : Mafunzo toka Kuletwa duniani kwa lazima (kuzaliwa kwa mzazi kulazimishwa uchungu uje) , Maisha ya Kuteseka na Kifo cha Uchungu cha MV. Bukoba
View: https://m.youtube.com/watch?v=vuJYR2JCLLQ
Mbele ya wageni maarufu kama Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, jaji mkuu mstaafu Chande na wengine wengi .. .
Mafunzo kutoka katika kujifungua kwa uchungu wa kushinikiza, maisha ya mateso, na kifo cha maumivu cha MV. Bukoba. Prof. Rwekaza Sympho Mukandala PhD (UC Berkeley), MA (UDSM), BA (UDSM), profesa wa Sayansi ya Siasa na Utawala, Profesa wa Kigoda cha Mwalimu J. K. Nyerere katika Taaluma za Umajumui wa Afrika (Pan africanism), na Makamu Mkuu wa Chuo Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam UDSM ....
Profesa Mukandala leo Jumanne Mei 21, 2024 akitoa muhadhara wa kiprofesa UDSM ikiwa ni miaka 28 tangu meli MV Victoria izame jijini Mwanza.
Katika maelezo yake, amesema meli hiyo ilifanya kazi miaka 17 nchini pasina kusajiliwa na wala haikupaswa kuletwa nchini.
Katika utangulizi profesa Palamagamba Kabudi akielezea wasifu wa Prof. Rwekaza Sympho Mukandala PhD ..... toka viti jalalani hadi kukaa katiika viti vya karibu na mfalme rejea biblia Zaburi 13 ......tukio la leo siyo kitu cha kawaida kukumbuka ajali iliyotokea tarehe 27 May 1996 ziwa Victoria ...
Professorial Inaugural Lecture on States, Markets, and Institutional Failure: Lessons from the Induced Birth, Tortured Life, and Painful Death of MV. Bukoba
This is to inform the University of Dar es Salaam community and the general public that Prof. Rwekaza Sympho Mukandala, from the Department of Political Science and Public Administration, College of Social Sciences (CoSS), will deliver his Professorial Inaugural Lecture on States, Markets, and Institutional Failure: Lessons from the Induced Birth, Tortured Life, and Painful Death of MV. Bukoba on Tuesday 21st May 2024 from 14:00hours at Nkrumah Hall, University of Dar es Salaam.
Prof. Mukandala is a dedicated scholar, researcher, educator and leader working particularly in the areas of Public Administration, Comparative Politics, and Democratic Governance.
His professorial inaugural lecture will be delivered on the 28th anniversary of the sinking of MV. Bukoba. Commissioned on 27th July 1979 by President Julius Kambarage Nyerere, she started her last voyage from Bukoba Port on 20th May, 1996. She capsized between 07:35 and 07:40 am on 21st May as she approached the Gulf of Mwanza and eventually sank at 15:05 pm on the same day.
According to H.E. Benjamin William Mkapa, Third President of the United Republic of Tanzania it was at that time the worst tragedy to happen in the country's history. Conflicting claims and counter claims abound regarding the cause of the accident.
Prof. Mukandala deploys a multi-disciplinary historical approach, ranging from physics to political science, law and economics, to explore the key contributory factors to what it is concluded was the induced birth, tortured life and painful death of MV. Bukoba.
Finally, important lessons are drawn for the present and future .... READ MORE : University of Dar es Salaam-
Mwanzo - Mwisho: Mhadhara wa Kiprofesa na Profesa Rwekaza Mukandala
Mhadhara wa Kiprofesa kuhusu dola , Masoko, na Kufeli kwa Kitaasisi : Mafunzo toka Kuletwa duniani kwa lazima (kuzaliwa kwa mzazi kulazimishwa uchungu uje) , Maisha ya Kuteseka na Kifo cha Uchungu cha MV. Bukoba
View: https://m.youtube.com/watch?v=vuJYR2JCLLQ
Mbele ya wageni maarufu kama Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, jaji mkuu mstaafu Chande na wengine wengi .. .
Mafunzo kutoka katika kujifungua kwa uchungu wa kushinikiza, maisha ya mateso, na kifo cha maumivu cha MV. Bukoba. Prof. Rwekaza Sympho Mukandala PhD (UC Berkeley), MA (UDSM), BA (UDSM), profesa wa Sayansi ya Siasa na Utawala, Profesa wa Kigoda cha Mwalimu J. K. Nyerere katika Taaluma za Umajumui wa Afrika (Pan africanism), na Makamu Mkuu wa Chuo Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam UDSM ....
Profesa Mukandala leo Jumanne Mei 21, 2024 akitoa muhadhara wa kiprofesa UDSM ikiwa ni miaka 28 tangu meli MV Victoria izame jijini Mwanza.
Katika maelezo yake, amesema meli hiyo ilifanya kazi miaka 17 nchini pasina kusajiliwa na wala haikupaswa kuletwa nchini.
Katika utangulizi profesa Palamagamba Kabudi akielezea wasifu wa Prof. Rwekaza Sympho Mukandala PhD ..... toka viti jalalani hadi kukaa katiika viti vya karibu na mfalme rejea biblia Zaburi 13 ......tukio la leo siyo kitu cha kawaida kukumbuka ajali iliyotokea tarehe 27 May 1996 ziwa Victoria ...
Professorial Inaugural Lecture
21.May.2024 11.03Professorial Inaugural Lecture on States, Markets, and Institutional Failure: Lessons from the Induced Birth, Tortured Life, and Painful Death of MV. Bukoba
This is to inform the University of Dar es Salaam community and the general public that Prof. Rwekaza Sympho Mukandala, from the Department of Political Science and Public Administration, College of Social Sciences (CoSS), will deliver his Professorial Inaugural Lecture on States, Markets, and Institutional Failure: Lessons from the Induced Birth, Tortured Life, and Painful Death of MV. Bukoba on Tuesday 21st May 2024 from 14:00hours at Nkrumah Hall, University of Dar es Salaam.
Prof. Mukandala is a dedicated scholar, researcher, educator and leader working particularly in the areas of Public Administration, Comparative Politics, and Democratic Governance.
His professorial inaugural lecture will be delivered on the 28th anniversary of the sinking of MV. Bukoba. Commissioned on 27th July 1979 by President Julius Kambarage Nyerere, she started her last voyage from Bukoba Port on 20th May, 1996. She capsized between 07:35 and 07:40 am on 21st May as she approached the Gulf of Mwanza and eventually sank at 15:05 pm on the same day.
According to H.E. Benjamin William Mkapa, Third President of the United Republic of Tanzania it was at that time the worst tragedy to happen in the country's history. Conflicting claims and counter claims abound regarding the cause of the accident.
Prof. Mukandala deploys a multi-disciplinary historical approach, ranging from physics to political science, law and economics, to explore the key contributory factors to what it is concluded was the induced birth, tortured life and painful death of MV. Bukoba.
Finally, important lessons are drawn for the present and future .... READ MORE : University of Dar es Salaam-