Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Salam kwa Jamhuri
Kama raia wa kawaida mwenye mamlaka kamili kulinda na kuisimamia nchi yangu sitasita kuusema ukweli ninaoushuhudia na kuuchakata kichwani mwangu kisha kushauri inapobidi kutenda.
Dhahiri shahiri Serikali hii ya awamu ya sita haikujiandaa kwa lolote kuwepo madarakani, hivyo si ajabu kukosa muelekeo sahihi kuichumi kwa sababu:
1. Mitazamo ya awamu ya 5 na 6 ni tofauti na ilipaswa kuendeleza.
2. Inawezekana awamu ya 5 ilikuwa na friction nyingi kuliko uhalisia.
3. Hata sasa kuna mgongano wa ki ideology kwenye kuendesha Serikali.
Wakati awamu hii inashika hatamu ilijikita katika kufungua nchi pamoja kuomba mikopo na misaada na lakushangaza ilifanikiwa kupata mkopo mkubwa kuliko kutokea Jamhuri ya Tanzania.
Serikali imeshindwa kuelewa tatizo la nchi yetu si kupata mikopo misaada ama makusanyo bali ni usimamizi wake. Mega project hazieleweki hatma yake mpaka sasa.
Sasa impact ya hela zilizoingia bado hazionekani, mdororo wa uchumi unazidi kuongezeka ikiwa hakuna matumani.
Hakuna matumaini kwa sababu, mwazo tunalalamika na mifumuko ya bei inayosababisha ugumu wa maisha ilikaa kimya baadaye sababu ikawa haikujiandaa na vita ya Urusi na Ukrene (kisingizio) ambayo tulionja joto yake mapema wiki ya pili ya vita.
Juzi mama akafichua tulichofichwa kwamba hata uchumi wa kati tulishadodoka chaliii...
Sasa awali ya yote tulishaanzishia mitozo kedekede kabla sasa, je huko mbele Serikali hii imejipangaje kututumikia sisi wenye nchi tuliowapa dhamana kuboresha uchumi wetu?
Hii hali mbaya tunayoipitia isipo kuja na jawabu kabla hujawajibika wewe Mh. Rais unaebeba dhamana ya Watanzania wote tunakuomba uwajibishe Baraza la Mawaziri wako ama washauri wako wa uchumi.
Watu wamechoshwa na siasa za kuremba makaburi wakati ndani ni uozo, tunakutana uwajibike kweli kweli hii tabia ya kutengeneza sababu ya kila tatizo tumechoka tunataka suluhisho.
#kaziendelee!
Kama raia wa kawaida mwenye mamlaka kamili kulinda na kuisimamia nchi yangu sitasita kuusema ukweli ninaoushuhudia na kuuchakata kichwani mwangu kisha kushauri inapobidi kutenda.
Dhahiri shahiri Serikali hii ya awamu ya sita haikujiandaa kwa lolote kuwepo madarakani, hivyo si ajabu kukosa muelekeo sahihi kuichumi kwa sababu:
1. Mitazamo ya awamu ya 5 na 6 ni tofauti na ilipaswa kuendeleza.
2. Inawezekana awamu ya 5 ilikuwa na friction nyingi kuliko uhalisia.
3. Hata sasa kuna mgongano wa ki ideology kwenye kuendesha Serikali.
Wakati awamu hii inashika hatamu ilijikita katika kufungua nchi pamoja kuomba mikopo na misaada na lakushangaza ilifanikiwa kupata mkopo mkubwa kuliko kutokea Jamhuri ya Tanzania.
Serikali imeshindwa kuelewa tatizo la nchi yetu si kupata mikopo misaada ama makusanyo bali ni usimamizi wake. Mega project hazieleweki hatma yake mpaka sasa.
Sasa impact ya hela zilizoingia bado hazionekani, mdororo wa uchumi unazidi kuongezeka ikiwa hakuna matumani.
Hakuna matumaini kwa sababu, mwazo tunalalamika na mifumuko ya bei inayosababisha ugumu wa maisha ilikaa kimya baadaye sababu ikawa haikujiandaa na vita ya Urusi na Ukrene (kisingizio) ambayo tulionja joto yake mapema wiki ya pili ya vita.
Juzi mama akafichua tulichofichwa kwamba hata uchumi wa kati tulishadodoka chaliii...
Sasa awali ya yote tulishaanzishia mitozo kedekede kabla sasa, je huko mbele Serikali hii imejipangaje kututumikia sisi wenye nchi tuliowapa dhamana kuboresha uchumi wetu?
Hii hali mbaya tunayoipitia isipo kuja na jawabu kabla hujawajibika wewe Mh. Rais unaebeba dhamana ya Watanzania wote tunakuomba uwajibishe Baraza la Mawaziri wako ama washauri wako wa uchumi.
Watu wamechoshwa na siasa za kuremba makaburi wakati ndani ni uozo, tunakutana uwajibike kweli kweli hii tabia ya kutengeneza sababu ya kila tatizo tumechoka tunataka suluhisho.
#kaziendelee!