hivi mzee Kifimbo cheza anapatikana pande gani?Km 2lmcfia alpokua anajua cdhan km 2nakosea 2kmsema sasa hv hajui. Jamaa limebaki jina tu.
hivi mzee Kifimbo cheza anapatikana pande gani?
Jamaa ni mgonjwa wa KISUKARI ila dodoso za chini chini zinasema ana ngoma! ndio maana hakutaka kuoa mpaka leo!
ee mungu wa israel tunusuru!
hivi mzee Kifimbo cheza anapatikana pande gani?
Jay kafua kinoma,nimeiskia jana iyo ngoma kwa Fakii pale mwenge...sidhani kama ntakuja kuiskiliza tena jinsi inavyokela maskio...inabidi iyo nyimbo ipelekwe mashamba ya mpunga wakafukuzie ndege,maana haifai kabisa kusikilizwa na binadamu....alafu jamaa anazidi kupandisha kenchi sku izi sijui ndio kwaherini kwaherini au!!?
Jamaa ni mgonjwa wa KISUKARI ila dodoso za chini chini zinasema ana ngoma! ndio maana hakutaka kuoa mpaka leo!
ee mungu wa israel tunusuru!
yule fide wake umemuona alivyochoka? inaewezekana ni kweli
we unadhani ngom inajua \cha prof?inakukumba tuu