Mwaonaje hizi ndoa tungekuwa tunaishi mbalimbali?

Mwaonaje hizi ndoa tungekuwa tunaishi mbalimbali?

WONDERWOMAN

Member
Joined
Jul 21, 2009
Posts
79
Reaction score
15
Kuna kakangu mmoja alisema kuwa anampenda sana mkewe na watoto ila kuna vikero vidogo vidogo anahisi visigekuwapo kama wangekuwa wanaishi mbali na wifi ,sio kwa kumchukia au kwa kukwepa majukumu ila kupeana nafasi kidogo na demokrasia zaidi lakini hakuna kuzini,mwaionaje hii wakuu wa jamvi!
 
Kuna kakangu mmoja alisema kuwa anampenda sana mkewe na watoto ila kuna vikero vidogo vidogo anahisi visigekuwapo kama wangekuwa wanaishi mbali na wifi ,sio kwa kumchukia au kwa kukwepa majukumu ila kupeana nafasi kidogo na demokrasia zaidi lakini hakuna kuzini,mwaionaje hii wakuu wa jamvi!
Hapo sasa inakuwa kusalitiana kwa kwenda mbele, hiyo ndoano sio ya kukamatia dagaa au samaki wa kawaida tena, hiyo ni ya kukamatia papa au nyangumi
 
Back
Top Bottom